Felix King Zaman
Senior Member
- Aug 6, 2016
- 125
- 117
Shikamoo wakuu
Nimekuwa nikifanya utafiti ili kuweza kujua mgawanyiko wa mziki wa Hiphop katika taifa letu la Tanzania
Katika pitapita zangu mitaani nimeskia eti kuna tamaduni mziki, hiphop katuni na kadhalika
Tafadhali naomben muweze kunipa uhalisi na ikiwezekana majina ya wasanii wanaofanya hizi aina ya hiphop.
Nimekuwa nikifanya utafiti ili kuweza kujua mgawanyiko wa mziki wa Hiphop katika taifa letu la Tanzania
Katika pitapita zangu mitaani nimeskia eti kuna tamaduni mziki, hiphop katuni na kadhalika
Tafadhali naomben muweze kunipa uhalisi na ikiwezekana majina ya wasanii wanaofanya hizi aina ya hiphop.