Hipi ni sababu inayowafanya yanga wasivume kimataifa? Kwanini simba waweze?

Hipi ni sababu inayowafanya yanga wasivume kimataifa? Kwanini simba waweze?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Ninawaza kwa sauti kubwa saana hapa, nimeona clip nyingi watu wakipiga kelele kisa ku droo na al hilal 😂😂,
Hivi wana feli wapi? Wana yanga wana imani kubwa sana na kikosi chao lakini wanashangaa walivyotaabika jana almanusura wapasuke wamshukuru diara.

Wana yanga wana amini sana kwamba simba ni wabovu sasa wanawezaje kupepea Caf champion league?

Msimu uliopita simba alikua mbovu haswaa akadondokea shirikisho lakini aliweza kufika mpaka robo fainal kwa ule ubovu wao yanga wanapiga mahesabu mbona sisi tuna kikosi kizuri? Mbona tunashindwa? Lakini wanakosa majibu.

Mimi najua kabisa na ubovu woote wa simba hawa al hilal wasingefurukuta hata kidogo..


Wakuu kwanini simba kimataifa wanajitahidi? Yanga tunakwama wapi?

Tusameheni tuliona ni rahisi mlivyofika robo fainal naona hata group stage sisi inatushinda 🤣🤣
 
Uzi wa MAKOLOKOLO FC wa 1000 JF kumuhusu YANGA Bingwa wa NBC PL 2021 - 2022 mara tu baada ya suluhu ya 1 - 1 dhidi ya Al Hilal [emoji56].

Kweli YANGA ni baba lao na kila kolo achutame [emoji1]
 
Ninawaza kwa sauti kubwa saana hapa, nimeona clip nyingi watu wakipiga kelele kisa ku droo na al hilal [emoji23][emoji23],
Hivi wana feli wapi? Wana yanga wana imani kubwa sana na kikosi chao lakini wanashangaa walivyotaabika jana almanusura wapasuke wamshukuru diara.

Wana yanga wana amini sana kwamba simba ni wabovu sasa wanawezaje kupepea Caf champion league?

Msimu uliopita simba alikua mbovu haswaa akadondokea shirikisho lakini aliweza kufika mpaka robo fainal kwa ule ubovu wao yanga wanapiga mahesabu mbona sisi tuna kikosi kizuri? Mbona tunashindwa? Lakini wanakosa majibu.

Mimi najua kabisa na ubovu woote wa simba hawa al hilal wasingefurukuta hata kidogo..


Wakuu kwanini simba kimataifa wanajitahidi? Yanga tunakwama wapi?

Tusameheni tuliona ni rahisi mlivyofika robo fainal naona hata group stage sisi inatushinda [emoji1787][emoji1787]
Tatizo unaposema Simba ni mbovu unazingatia jinsi mnavyotufunga tukikutana,bila kujua mechi hizo huwa mnashinda kwa sababu mnawatumia wahuni waliopo Simba kupara ushindi,ikiwa ni pamoja na Manara ambaye mlimtumia sana pia.

Lakini pia unaposema utopolo ni wazuri unasahau jinsi GSM anavyopenyeza pesa kwa timu pinzani kupatata ushindi na wachambuzi wanaotumika kuwadanganya mashabiki wajinga kama wewe ambao hadi sasa mnaiona El hilal ni timu mbovu.

Kumbuka Simba ni dude kuubwa sana toeni tu heshima
 
Typing error vs Grammatical errors.

Kuongea "h" pasipostahili imekuwa kama fasheni hivi siku hizi. Halafu pale panapotakiwa kuwepo "h" wanaiondoa.

"Anakuja" wanaandika "Hanakuja"

"Hapana" wanaandika "Akpan"
Sawa mwalimu
 
Back
Top Bottom