Wapendwa naomba mwenye uelewa na Hisa anieleweshe nataka niingui kwenye biashara ya ununuaji Wa Hisa
Pia ni Hisa za kampuni gani zinafaida na ukiwa na kiasi gani cha Pesa?
Nawakilisha naombeni elimu hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.