NINAVYOELEWA NI KUWA CRDB WALIUZA SHARE ZAO ZOTE. KWA HIYO HIZI SHARES ZAO ZA SASA HIVI NI SHARE MPYA AMBAZO ZIMETENGENEZWA/KUCHANGANYWA (DILUTED SHARES)
mchanganyon wa shares (dilution of shares), itakuwa wametoa shares mpya ili kukusanya mtaji wa kuendeshea nakufidia hasara waliyopata, kwa mantiki hiyo shares zitakuwa zimechanganywa na watu wenye shares zao tokea mwanzo zitashuka bei
mfano CRDB WANA TOTAL SHARE 10M, ALAFU WAMEAMUA KUTENGENEZA SHARE MPYA 5M ILI KUKUSANYA SHILINGI SH 20M KWA AJILI YA UENDESHAJI.
KAMA ULIKUWA UNAMILIKI 1% YA SHARES (SHARES 100,000) ITAKUBIDI ULIPE TENA SH 2M (1% OF SH 20M) ILI UENDELEE KUMILIKI 1% YA SHARES (SHARES 150,000). KWA HIYO KAMA USIPOTOA HIYO SH 2M, SHARES ZAKO ZITAKUWA ZIMECHANGANYIKA NA HAUTAKUWA UNAMILIKI 1% TENA KAMA ILVYOKUWA AWALI.
KWA AJILI WAMETOA SHARES ZINGINE ILI KUPATA HELA KWA HIYO SASA HIVI CRDB INA SHARES 15M BADALA YA 10M KWA HIYO SHARES ZAO INABIDI ZISHUKE
NOTE
MWANZO TOTAL SHARES 10M , 1% YAKE NI SHARES 100,000
BAADA YA SHARE MPYA TOTAL SHARES (5+10= 15M), KWA HIYO 1% YAKE NI 150,000. KWA HIYO LAZIMA WASHUSHE BEI YA SHARE KULINGANA NA MTAJI