Nunua hisa za bank za hapa nchini mfano CRDB,DCB,NMB kwani kufirisika kwake si rahisi, ila kama una pesa za kutosha nunua TBL au TCC na ziko juu sana mfano TBL inafikia 14,ooo/ kwa hisa ndhani itakua imeshapanda kwa sasa. TCC ni 16,000/ kwa hisa moja nadhani nayo itakua imepanda kidogo.
Vilevile unaweza ongezea kwa kampuni nyingine zinachipukia na ni bei rahisi kidogo ukilinganisha na haya makampuni makubwa.
Vilevile unaweza kununua hisa za campuni za cement za Tanga na Dar ambazo nazo zinafanya vizuri
kwa ufupi tmbelea web ya DSE Tanzania kwa maelezo zaidi