Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.

Mimi nauza hisa za kampuni ya Mwananchi Co. Ltd ni pm tuongee
Habarini wanajamvi, ningependa kufahamu ni hisa za kampuni gani ambazo zipo sokoni kwa sasa na zinauzwa!? Binafsi ningependa kununua hisa katika moja ya makampuni hayo!
Nunua hisa za swissport mkuu hutajuta.Achana na hizo za mwananchi/NMG utaingia choo cha kike.Sio kila kampuni iliyopo DSE ni ya kununua hisa zake.Epuka mkombozi bank,Precision air,Kenya airways,Swala na Uchumi supermarket(kwa sasa).