we umetokea dunia gani...duuuuuuuuuuuuuuuu...kuna hadi hisa moja sh 300kununua hisa moja sio chini ya mil 10.
hiyo hisa nikinunua mimi ninafaidika vipi mdau
aliyeweka post. huna update. mbona zilitangazwa sana. na wameishafunga mda wa kuuza. siku ile ulikuwa uzinduzi............tena bei yao kama cjakosea ilikuwa tsh 200 per share..... ilitakiwa ununue certain minimum shares.... . ...anyway post yako it indicates that huna uelewa mzuri kuhusu mfumo wa shares........wasiliana na wadau tutakupa shule mkuu
Unatakiwa kufutatilia mwenendo wa makampuni yote yaliyosajiliwa na DSE.
-Kila kampuni lina 'minimum shares' ambazo wateja wake watatakiwa kununua...mf. Kampuni ya sigara, TCC wanaweza kuuza kuanzia hisa mia moja '100 shares' nakuendelea, which means unaweza kununua hisa 100--- kutokana na uwezo wako.
-Kila kampuni lina bei za hisa zake kutokana na reputation au jinsi linavyofanya biashara. Kwa mf. hisa moja ya TCC yaweza kuuzwa kwa sh. 2500, kama unataka kununua hisa mia moja then unatakiwa kuzidisha mara 2500 (2500*100 =250,000), hivyo basi kwa hisa mia moja utatakiwa kuwa na sh. 250, 000 ili kumiliki sehemu ya kampuni.
-Unachotakiwa kufanya ni kufuatilia mwenendo wa kampuni yako kila siku ili kujua je bei ya hisa imeongezeka au imepungua, unaeza kuuza hisa zako mda wowote kama ukiona inakupa faida. Mf. kama ulinunua hisa moja kwa sh. 2500 then umeona bei kidogo imepanda hadi sh. 2700 unaweza kuuza hisa zako kwa faida ya sh. 200 kwa kila hisa (2700*100 =270,000). Kwa hiyo utapata faida ya sh. 20, 000. "The more shares you own, the more profit you make".
-Kama hutaki kuuza hisa zako, utasubiri kwa kipindi kilichowekwa na kampuni kwa ajili ya kugawana faida ''dividends'', mara nyingi ni miezi mitatu au miezi sita.
-Wengi wanasema ni vizuri kununua hisa za makampuni yanayouza kwa viwango vya chini coz utanunua hisa nyingi kwa bei ya chini kidogo. kwa mf. kama Swala Gas wanauza hisa moja kwa sh. 500 unaweza kununua hisa mia tano (500) kwa sh. 250,000, tofauti na kununua hisa za TCC ambazo kwa hiyo tsh. 250,000 utapata hisa moa moja tu. Labda wataalam watujuze kitaalam zaidi.
Bestito ladyfurahia twende kununua hisa.
Kwa nini asinunue za Swala?Usinunue hisa za swala.
Kwa nini asinunue za Swala?
Jamaa hata exploration hawajafanya wamefanya kitu kinachoitwa seisemic ambayo hii does not prove kuwa kuna kitu chini,fautalia company inaitwa petrobas utajua zaidi
Usijali nipo nimejaa tele.Nashukuru kwa kunifahamisha na kunielezea kiundani zaidi maana nilikuwa sijui bestito umenifumbua macho oky acha niwekeze hela na niangalie ni kampuni gani naweza nunua ihizo hisa kwa mwaka huu maana nimeona kama hiyo inalipa zaidi asante rafiki kwa kunielewesha suala hilio kweli jf ni zaidi ya kuchat hata mambo mazuri tunayapata hapa asante nitakuutalifu lini twende bestito kama uko dar
Usijali nipo nimejaa tele.
Wekeza afu utaona matunda yake..
Umeongea point nzuri mkuu, lakini hembu mueleweshe ili ajue kwa undani. Kuna kampuni moja sikumbuki kama ni DAHACO, watu walilia miaka ya mwanzoni mwa 2000.
they way I see Tanzania, sidhani kama kuwekeza kwenye his a kunalipa sana. may be kama una capital kubwa. but kama capital yako ni ndogo heri uwekeze kwenye mobile banking.
ni mawazo tu jaman.
Usinunue hisa za swala.
Kwanini mkuu?
mm naomba unisaidie namna ya kununua hisa na nini faida yake kwangu yaani kwa ufupi mambo yahusuyo hisa nami niweze kujiunga nao au ninunue hizo hisa
Kwanini mkuu?