Hisa za Mwanza Community Bank PLC: Speculators Mnasemaje??

Hisa za Mwanza Community Bank PLC: Speculators Mnasemaje??

Mkuu

Kumbuka hii ni TZ...... Usifikiri nakurupuka....nakijua nachokiandika......najua nachokiandika.....najua vema siasa za soko la hisa la DSM......tangu TCC, TBL, TOL waanze kuuza hisa zao

Kwa hiki Kibank ambacho hakijaanza kufanya BIASHARA.....hatujui itakuwa na uongozi gani? inaungwa vipi mkono na Serekali.........Makampuni watakaofanya nao biashara.......board yake itaundwa na wakina nani....na wana influence gani.....kibongo bongo HUWEZI KUTUSHAWISHI HISA/BANK ITAFANYA VIZURI.....Pia unatakiwa utambue.....watu bado wanamachungu ya NICOL,TOL...tambua uelewa wa hisa kwa watanzania ni mdogo saana........nachelea kukuambia atakaye nunua hisa asitegemee faida ya muda mfupi....faida ni baada ya miaka si chini ya miwili na hata mitatu....refer back to DCB.....na kama wewe ni mbunifu waulize watu walionunua hisa za MKOMBOZI japo bado haijasajiliwa.

NAHESHIMU UZOEFU WAKO LAKINI KWA TANZANIA UNAWEZA USIWE Applicable

Soma bac prospectus yake ndio uje mkuu!
 
Uko sahihi kabisa. Ndio maana si wote tunafanya biashara, kazi au kilimo. Unachagua pale unapoona unafaa. Kweli hii ni biashara na haina guarantee just like any business. Ila kuna vitu wataalamu wanaita tathmini ya viahatarish (risk assement) ndio zinaongoza maamuzi ya kuwekeza au la. Pia faida si lazima kwenye gawiwo tu, unaweza pata faida kwenye capital gain. Check prospectus yao
 
Mie naomba kuuliza hisa zinauzwa shillingi ngapi kwa hisa moja?? Na utalatibu ukoje kwa wale tulio nje ya nchi??
Hisa moja wanauza Tsh 550/=. kuna mawasiliano yao hapo katika Thread. piga Ulizia
 
Kwa uzowefu wa DCB(Dar es Salaam Community Bank) nakushahuri jitoe tu Muanga maana naona DCB inafanya vizuri sana kwa sasa.
 
Nicol watu walizichangamkia kwa kuwa waanzilishi walikuwa wazawa wenzetu waliofanikiwa kibiashara watu wakajenga imani nao, lkn kilichotokea kilikatisha tamaa kiukweli

Halafu ndo hao hao wanaolilia vitalu vya gesi ili watajirike zaidi tehetehetehetehetehe!
 
Halafu ndo hao hao wanaolilia vitalu vya gesi ili watajirike zaidi tehetehetehetehetehe!
Kaka tangu lile jarida linaloorodhesha watu matajiri zaidi (FORBES) liingie hapa nchini kwetu naona matajiri wetu hapa bongo hawalali ili wasije kuabika. watakuja semwa Wamefulia. wabongo kwa makavu live!!!!
 
Kaka tangu lile jarida linaloorodhesha watu matajiri zaidi (FORBES) liingie hapa nchini kwetu naona matajiri wetu hapa bongo hawalali ili wasije kuabika. watakuja semwa Wamefulia. wabongo kwa makavu live!!!!

Hahahahahahahahahah, umena mkuu? Jamaa wanahangaika ile mbaya hata pale wasipokuwa na uwezo napo, lol!
 
Back
Top Bottom