Mkuu
Kumbuka hii ni TZ...... Usifikiri nakurupuka....nakijua nachokiandika......najua nachokiandika.....najua vema siasa za soko la hisa la DSM......tangu TCC, TBL, TOL waanze kuuza hisa zao
Kwa hiki Kibank ambacho hakijaanza kufanya BIASHARA.....hatujui itakuwa na uongozi gani? inaungwa vipi mkono na Serekali.........Makampuni watakaofanya nao biashara.......board yake itaundwa na wakina nani....na wana influence gani.....kibongo bongo HUWEZI KUTUSHAWISHI HISA/BANK ITAFANYA VIZURI.....Pia unatakiwa utambue.....watu bado wanamachungu ya NICOL,TOL...tambua uelewa wa hisa kwa watanzania ni mdogo saana........nachelea kukuambia atakaye nunua hisa asitegemee faida ya muda mfupi....faida ni baada ya miaka si chini ya miwili na hata mitatu....refer back to DCB.....na kama wewe ni mbunifu waulize watu walionunua hisa za MKOMBOZI japo bado haijasajiliwa.
NAHESHIMU UZOEFU WAKO LAKINI KWA TANZANIA UNAWEZA USIWE Applicable
Soma bac prospectus yake ndio uje mkuu!