real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Habari wana JF.
Nilikua naangalia trend ya bei za hisa hapa soko la DSE nikaona za NMB zimeshuka kutoka 4300 hadi mwezi huu ni 3500.
Je, benki inafanya vibaya au ni nini, Pia ningependa kujua timing nzuri ya kununua hisa ni kipindi gani cha mwaka.
Natanguliza shukrani!
Nilikua naangalia trend ya bei za hisa hapa soko la DSE nikaona za NMB zimeshuka kutoka 4300 hadi mwezi huu ni 3500.
Je, benki inafanya vibaya au ni nini, Pia ningependa kujua timing nzuri ya kununua hisa ni kipindi gani cha mwaka.
Natanguliza shukrani!