Hisa za NMB zimeshuka kwa 50% ndani ya miezi 12

Hisa za NMB zimeshuka kwa 50% ndani ya miezi 12

Mimi hadi Leo najuta kununua hisa CRDB!
Mwaka juzi January nilienda kununua hisa!
Siku hiyo nikakuta bei ni Tshs 435! Nikaona nitoe kiasi kikubwa ili nipate hisa nyingi. Kosa nililofanya ni kwamba ile fomu niliyojaza kununulia nilijaza nanunua kwa market price!
Baada ya wiki moja niliporudi kwa broker ananiambia bei ilipanda hadi tshs 500 kwa hisa. Aisee fikiria tangu mwaka juzi hadi leo hii bei ya hisa haijawahi kurudi tena kwenye hiyo Tshs 500! Inacheza 380 hadi 450!
Loss ni kubwa mno nafikiria kuziuza hivyo hivyo kwa bei ya hasara sasa!
Sitarudia kununua hisa tena!
Mwaka jana nilipata gawio la Tshs 1,800,000/- kwa hela niliyoweka huko naamini ningeifanyia business yoyote nyingine ninge make zaidi ya hiyo!!
mkuu una hisa kiasi gan CRDB?
 
sure, walifanya hivyo wakati swala inaingia sokoni. raha ya soko la hisa uwe na pesa nyingi, na info za kutosha
information (insider) is cumbersome to get it, otherwise someone in mgt to tips you off( strong efficiency, semi strong and weak efficiency there are three types of markets efficiency) in our case here am taking about strong market efficiency
 
Watu wengi wanakimbilia kununua hisa bila kuelewa kuwa kuna kupata na kukosa katika soko la hisa; soko la hisa sio sawa na SAVINGS ACCOUNT ya benki!! Kuna umuhimu kwa wananchi kuelimishwa zaidi juu ya soko la hisa kwani kuna wajanja wanaweza kulitumia soko hilo kuwaibia wananchi wasiokuwa na uelewa; mfano mzuri ni jinsi wale wazee wa NICO walivyojifanya wazalendo kumbe ndio njia ya kuwadhulumu maskini wadanganyika na serikali imekaa kimya bila kuwasaidia wapate chao kutoka kwa hawa wezi!!!
Ni kweli mkuu, hata mimi ni mhanga wa NICO, hata kwa kuwatafutia hapako
 
Ninashauri wadau wa jf na kama wapo wstu wa nmb pia watembelee Benji mpya ya Kenya inayoitwa equity kisha waende CRDD walinganishe utendaji wao na Huduma kwa Wateja. Moja kati ya udhaifu mkubwa iliyoonyesha nmb nikupoteza baadhi ya Wateja wao kizembe( watumishi wa serikali) waliohamia equity na CRDB wafanye tathmini kujua ni nini chanzo. Unapotezaje mkopaji anayepitisha mshahara kwako na mkopo wake una hakika ya marejesho100% kila mwisho wa mwezi? na dhamana ya mkopo huo ni mwajiri wa mkopaji? Mengine taasisi zetu zinajitakia na kutafuta wa kumrushia lawama. Biashara yeyote ili ishamiri inategemea ubavu na mbinu za mhusika kukabili soko.
 
Ninashauri wadau wa jf na kama wapo wstu wa nmb pia watembelee Benji mpya ya Kenya inayoitwa equity kisha waende CRDD walinganishe utendaji wao na Huduma kwa Wateja. Moja kati ya udhaifu mkubwa iliyoonyesha nmb nikupoteza baadhi ya Wateja wao kizembe( watumishi wa serikali) waliohamia equity na CRDB wafanye tathmini kujua ni nini chanzo. Unapotezaje mkopaji anayepitisha mshahara kwako na mkopo wake una hakika ya marejesho100% kila mwisho wa mwezi? na dhamana ya mkopo huo ni mwajiri wa mkopaji? Mengine taasisi zetu zinajitakia na kutafuta wa kumrushia lawama. Biashara yeyote ili ishamiri inategemea ubavu na mbinu za mhusika kukabili soko.
hapa umenena mkuu, moja kati ya matatizo makubwa kwenye taasisu zetu ni inefficiency
 
Back
Top Bottom