Hisa za Vodacom Tanzania, imegeuka kuwa kitendawili kwa Tanzania

Hisa za Vodacom Tanzania, imegeuka kuwa kitendawili kwa Tanzania

Kampuni ya Vodacom ina waya waya, kiasi cha kuchelewesha mishahara wafabyakazi wake.. sasa habari ya Hisa za voda ni kujitia umasikini..
Kwa taarifa kama hii ndio utaelewa kwa nn wanauza hizo hisa zao .Hapo utaona kwamba kuna watu walikua wanamiliki his a nyingi ila wanaanza kuingia woga kwamba biashara inayumba ndio wanaanza kuzungumzia kukusanya mitaji toka kwetu mwisho Wa Siku wanachukua fedha halafu kampuni inakufa wao watafungua nyingine.

Labda niulize kuna mechanism gani kibiashara ya kulinda mitaji yetu maana haitakiwi uwekeze kwenye hasara Bali kwenye faida.

Hata kama utafanya tyming ila unahitaji pia isiwaumize wengine unaowauzia.
 
Mkuu nikitaka kuuza wanalipa ndani ya muda gani??

Inategemea na vitu hivi:
- Demand ya hisa unazouza - kama wanunuzi ni wengi unaweza kuziuza hata siku hiyo hiyo
- Bei ambayo uko tayari kuziuza hisa zako. Mfano kama wewe unataka 900/- kwa kila hisa ila wanunuzi wanataka kwa 850/-, stockbroker atakujulisha. Hapo inabidi uamue aidha uuze kwa 850/- au usubiri mnunuzi atakayekuwa tayari kununua kwa 900/-
Hawa ma-stockbroker wana dalalisha hisa.

Kwa hiyo muda wa kulipwa inategemea 'how fast hisa zako zitauzwa'
 
Huna namba za dalali unayemjua niwasiliane nae??
Mkuu wanakua Recognized na DSE hawa ni Trusted Brokers
Screenshot_2017-04-21-19-25-05.png
Screenshot_2017-04-21-19-25-23.png
 
Inategemea na vitu hivi:
- Demand ya hisa unazouza - kama wanunuzi ni wengi unaweza kuziuza hata siku hiyo hiyo
- Bei ambayo uko tayari kuziuza hisa zako. Mfano kama wewe unataka 900/- kwa kila hisa ila wanunuzi wanataka kwa 850/-, stockbroker atakujulisha. Hapo inabidi uamue aidha uuze kwa 850/- au usubiri mnunuzi atakayekuwa tayari kununua kwa 900/-
Hawa ma-stockbroker wana dalalisha hisa.

Kwa hiyo muda wa kulipwa inategemea 'how fast hisa zako zitauzwa'
Mkuu hisa si Mitumba
Kama Bei ya Sasa ni 900 Utauza hiyo hiyo sheria haziruhusu Muuzaji na Dalali Kuuza Hisa Bila Kufuata Bei ya Ushindani.
 
Usibabaike na maneno ya watz waoga mkuu, mtanzania wa leo kila kitu anadoubt hata akiokota dhahabu anaweza akaitupa akasema mtu hawezi kudondosha dhahabu kizembe hivi
Numbers do not lie...naomba uongee mathematically utaeleweka vzr kuliko kutumia hisia
 
If you’ve been wondering how the stock markets work, here is a popular story of buying and selling monkeys that draws an analogy on the stock market. Though this is just a fable, it is not very far from reality when it comes to the style of functioning of today’s markets:

Once a man appeared in a village and announced that he wanted to monkeys for $10 each. The villagers, realizing that there was no dearth of monkeys in the nearby forest, went out and started catching them. The man bought thousands of monkeys at $10. As supply started to fall down, the villagers stopped catching more monkeys.

Now the man further announced that he would now buy monkeys at $20 each. This renewed the efforts of the villagers and they started catching monkeys again. As the supply diminished even further, people once again stopped catching monkeys and started going back to their farms.

The man further increased the rate to $25. Soon the supply of monkeys became so little that it was quite an effort to even get a glimpse of a monkey, let alone catch it!

The man now announced that he would buy monkeys at $50. However, since he had to go to the city on some business, his assistant would now buy on behalf of him.

In the absence of the man, the assistant said to the villagers: “Look at all these monkeys in the big cage that the man has collected. I will sell them to you at $35 each and when the man returns from the city, you can sell them to him for $50.”

The villagers squeezed up with all their savings and bought all the monkeys. But they never ever saw the man or his assistant again in the village; only monkeys everywhere!

Welcome to the Stock Market!
Mkuu nahisi nimekuelewa
 
Kwa taarifa kama hii ndio utaelewa kwa nn wanauza hizo hisa zao .Hapo utaona kwamba kuna watu walikua wanamiliki his a nyingi ila wanaanza kuingia woga kwamba biashara inayumba ndio wanaanza kuzungumzia kukusanya mitaji toka kwetu mwisho Wa Siku wanachukua fedha halafu kampuni inakufa wao watafungua nyingine.

Labda niulize kuna mechanism gani kibiashara ya kulinda mitaji yetu maana haitakiwi uwekeze kwenye hasara Bali kwenye faida.

Hata kama utafanya tyming ila unahitaji pia isiwaumize wengine unaowauzia.
Acha mkuu kuongea vitu bila kua na taarifa,wanauza hivi ni hitaji la kisheria ,na makampuni mengine yatafuata.si kwenye mawasiliano tu ni kwenye madini na gesi pia yaja 25% lazima wazawa wamiliki.
 
Kaka mkuu, kusema ukweli Vodacom huwezi kufananisha na Precision Air kwasababu precision ni loss making company wakati vodacom ni profit making company. Madeni ya vodacom sio ya kutisha na deni alilonalo vodacom ni analodaiwa na Vodacom Group South Africa ambayo ni parent company, wala sio deni lenye effect yani kama IPP Media iwe inaidai ITV.
View attachment 498911
Naelewa mtu aking'atwa na nyoka kinachofata akiguswa na jani tu anashtuka. Ndomana watu wote waliopata hasara kwa makampuni kama Precision au NICOL wanaogopa sana soko na wanaliponda, na hiyo inaprove kuwa wao sio wawekezaji wa kweli, kwasababu mwekezaji wa kweli akikosea anajiuliza kwanini alikosea wapi aliteleza ili wakati ujao asiteleze tena na sio kulalalamika kusema soko halina faida wakati wapo wanaofaidika.

Cashflows za Vodacom ziko vizuri tu ndomana wamejiamini kusema dividend watalipa sio chini ya asilimia 50% ya profit. Here is their cash and cash equivalent
View attachment 498913
Kuna concern kwamba profitability ya vodacom imekuwa ikipungua mwaka hadi mwaka kutokea 2014 bil 128, 2015 bil bil 32 na 2016 bil 29. Ila ukiangalia kilichosababisha kupungua kwa faida ni Investment in Associate ambayo ilikuwa ikiwaletea hasara mwaka 2015 na 2016. Ambayo sasa hiyo hiyo associate imeuzwa kwahiyo haitaaffect tena faida ya vodacom
Angalia hapo kipengele share of loss from associate ilvyokuwa inakula faida ya vodacom, sasa hiyo associate haipo tena imeuzwa
View attachment 498914

Kuna concern kwamba eti bei 850 ni kubwa sana, jamani bei inaweza kuwa kubwa ndiyo ila pia tujiulize ukiwa unauza biashara yako ambayo umekuwa ukiiendesha kwa mafanikio kwa zaidi ya miaka 15 utaiuza bei rahisi kweli. Biashara ina goodwill ya kutosha una market share kubwa kuliko wapinzani wako, una jina kubwa na unaaminika. Kweli mlitaka muuziwe bei rahisi, ila no wonder kwasababu ndiyo kawaida yetu watz. Kwa mtizamo wangu hiyo bei iko fair tu.

Nimalize tu kwakusema ndugu zangu kina troll na wengine hamna haja ya kuliogopa soko, wawekezaji tupo kwenye game kujifunza kilasiku ili tufaidike na uwekezaji wetu, tuache kufaninisha biashara ya hisa na biashara zingine kama kilimo, kwasababu biashara zingine utahitaji kuzisimamia kilasiku utahusika 100% kwenye operating activities wakati kwenye hisa wewe unaweka tu hela yako inakuwa inakufanyia kazi unasubiri capital gains na dividends hauhusiki 100% kwenye operations.

Wenu kwenye gurudumu la uwekezaji
Geofrey Silumbu
Asante mkuu kwa elimu murua kabisa!!
 
Hisa za Vodacom ....Vodacom yashindwa kufikia nusu ya lengo la mauzo ya hisa, kuomba iwauzie wasio watanzania..

Nani mwekezaji kutoka nje atataka kuleta fedha zake kuwekeza kwa nchi inayoongozwa na mwendawazimu??

Na bado wanalazimisha eti makampuni ya simu na makampuni makubwa ya madini wa "list Dar es salaam stock exchange" kwa fedha zipi? ...Kampuni moja tu imeshindikana, Sasa na hizo zingine?
Subiria wakiruhusu.. Weka akiba ya maneno....Mwendawa zimu babako mzazi aliyeshindwa kukujenga ukawa unajiamini katika kujenga hoja..
 
Acha mkuu kuongea vitu bila kua na taarifa,wanauza hivi ni hitaji la kisheria ,na makampuni mengine yatafuata.si kwenye mawasiliano tu ni kwenye madini na gesi pia yaja 25% lazima wazawa wamiliki.
hao ni wabongo mkuu inabidi uwazoee. Mabingwa wa kuropoka hata kama vichwa havina kituuu watajifanya wanajua mkuu.. Wasamehe tuu
 
Unajua Hisa za Swala zina traded kwa Tsh 500/share?
bei za hisa zinapanda na kushuka kifupi ni ujue lini ununue na lini uuze, wapi ununue na wapi uuze, wanaojua soko walinunu hisa za swala bei ikiwa mia tano kwenye IPO na kuuza kwenue secondary market kwa 2000, waliokosea timing ni walionunua 2000 na kukaa nazo mpaka zikarudi tena 500, na sababu imeshuka ni kuwa kampuni ya swala ilichukua mtaji/kuuza hisa ili kwenda kufanya utafiti kwahiyo kwasasa hakuna dividend , ila kuna wajanja wanafuatilia kwa karibu tu wakisikia swala siku wamepata gesi wataenda kununua tena kwa 500 na watakuja kuuza kwa 10,000/- . Kujua soko la hisa linavyokwenda ni muhimu sana kabla hujanunua hisa
 
Back
Top Bottom