Hisa za Vodacom Tanzania, imegeuka kuwa kitendawili kwa Tanzania

Hisa maana yake weka mtaji wako kampuni salama upate faida au hasara kiduchu!
 
...Mkuu uko vizuri, endelea kutuhabarisha.
 
Usibabaike na maneno ya watz waoga mkuu, mtanzania wa leo kila kitu anadoubt hata akiokota dhahabu anaweza akaitupa akasema mtu hawezi kudondosha dhahabu kizembe hivi
...Funguka zaidi kama Troll JF hapo juu, haitoshi tuu kumuambia asibabaike, tena kwenye huu usawa wa magu.
 
Usio
Usiongee kabisa negative kuhusu hisa mkuu,
Hisa za DSE mwakajana watu wametengeneza pesa mjini hapa mpaka nawengine nawajua hata kazi za kuajiriwa wameacha.ndani ya miezi mi3 mtu katengeneza M100, Wengine M150.we unasema Hisa hazina faida.
Chamsingi unatakiwa uwe mjanja katika kuwekeza sio kuwekaweka tu pesa zako kisa umeona ni hisa unanunua yaani we ukiona mchaka tu mavi yashakubana tayari.
Take calculated risks, tatizo mtu ananunua tu hafanyi analysis yaani yy kisa tu ni hisa na hela anayo ananunua.
Utaishia kulia kila siku mpaka utakapo jifunza.
 
Ninaomba kujulishwa kama vyeti vya Hisa za Vodacom vimeishatumwa kwa mawakala pale tuliponunulia Hisa husika?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…