Hemedy rashidy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 244
- 147
Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uko wapi?Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502View attachment 2368297
Nipo mbagara kijichiMkuu uko wapi?
Dar es salaam we uko wapiii???Mkuu uko wapi?
Hpn boss uko chini sanaa M1 top topIPO 800k
Iliharibika nini ukatengeneza?Hpn boss uko chini sanaa M1 top top
Haijawahii kufunguliwa TV ina box lake ina mwezii 1Iliharibika nini ukatengeneza?
Safi sana. Kwa nini unaiuza?Haijawahii kufunguliwa TV ina box lake ina mwezii 1
Mim ni mfanya biashara kaka nauza simu na TV ila sana sana simu hizi TV nilikuja nazo 2 kutok dubai moja inch 50 LG na hii hisense inch 55 natumainii umenielewaSafi sana. Kwa nini unaiuza?
Acha fix . bei ya kusafirisha hizo TV na ushuru wa tra ni žaidi ya bei yake hapa bongo. Au TV ulipewa bure huko Dubai.Mim ni mfanya biashara kaka nauza simu na TV ila sana sana simu hizi TV nilikuja nazo 2 kutok dubai moja inch 50 LG na hii hisense inch 55 natumainii umenielewa