Hisia za wananchi mtaani: Kilichomfukuzisha Ndugai ni kuhoji kwake kwa nini Pesa nyingi za mkopo kupelekwa Zanzibar licha ya idadi ndogo ya watu

Ndugai amevuruga sana, amesababisha bunge kuwa dhaifu, sababu alikuwa Dili moja na jiwe, uchafuzi, na nchi imekosa upinzani bungeni.
Kwa hiyo mama alivyolinajisi bunge kwa kumchamba Ndugai namna ile ndio ameimarisha bunge?
 
Ndugai alikuwa shetani kabisa ndani ya bunge
 
Hapo ndipo tunapoonekana wajinga!

Yani huangalii hoja ila unaangalia mtoa hoja.

Tuna safari ndefu bado
Katika sayansi ya jamii haiba ya mtu anaebeba ujumbe ni muhimu sambamba na ujumbe kwa ajili ya usikivu na uchukuliwaji.

Eg. Hoja atakayoitoa babu Tale na hoja ile ile ikatolewa na Mbowe unafikiri uzito wa hoja utakaa wapi🤔

Mlimao hauwezi kuzaa zabibu
 
Katika sayansi ya jamii haiba ya mtu anaebeba ujumbe ni muhimu sambamba na ujumbe kwa ajili ya usikivu na uchukuliwaji.

Eg. Hoja atakayoitoa babu Tale na hoja ile ile ikatolewa na Mbowe unafikiri uzito wa hoja utakaa wapi[emoji848]
Tunaangalia ujumbe hatuangalii sura ya mtoa ujumbe..

Hapo ndipo waafrika ilipo kasoro yetu
 
Ndo maana ndugai alikuwa analalamika dodoma imetelekezwa[emoji4][emoji4]
 
Tunaangalia ujumbe hatuangalii sura ya mtoa ujumbe..

Hapo ndipo waafrika ilipo kasoro yetu
Sio kweli,labda km haujasomea mambo ya personality na uongozi.

Kichaa au mvuta bangi na muungwana wakibeba ujumbe unaofanana atakaesikilizwa ni muungwana.

Marekani km hauna ukwasi/salio ata kama una ujumbe kutoka kwa Mungu wewe ni fala tu na hautasikilizwa...

Hii ni dunia nzima na ata ngazi za familia km hauna hela usikilizwi mkuu.
 
Na Mungu akasema hivyo hivyo atake asitake.
 
Kubadili id hakusaidii..
chato ni wilaya mkoa wa geita
Jibu hoja..
Tukigawana mbao kwa jina lolote tutakalo tumia tutarudishaje
mikopo na mali zilizoenda Zenj?

Sijawahi kubadili Jina hata siku moja
Jibu ni kuwa serikali ya Tz ndio italipa
 
Mkigawana mbao hiyo serikali ya Tz ni ipi tena..
ya Zenj au Tanganyika?
Tanganyika itarudishaje mali zake zilizoenda kujenga zenje?

Ooh una maana ikitokea talaka
Tutahesahiana tu na tutalipana pole pole ila mimi sio mzenji
Ila ni haki yangu kuchangia Boss
 
Hii ni dhana tu.
Kenya mbona haikulipa mali za EAC?

Ila tuligawana fito
Ndege tukazuia wengine mpaka mizigo yetu wakabaki nayo
Hiyo ilikuwa ni funzo ingawa hatujifunzi na kuweka mambo hadharani kuwa likitokea la kutokea itakuwaje

Tatizo kila anaengia Wimbo ni ule ule “ Ntaulinda muungano”
Hapo inaonyesha hautakufa

Lakini tunajua Yemen waliachana mara mbili na kurudiana na kuachana
Mapenzi haya [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…