Fidel80: Huyu ninavyohosi ni muongeaji sana Nyuma ya Laptop, lakini mbele ya totoz Mdogo unaganda, nahisi wanafanana kisifa na Masanilo,
ingekuwa hili wali langu ningekujibu kuwa singeshangaa maana MUNGU anatenda miujiza bana.Hahahahaha utasikiaje siku ukiambiwa Fidel ameokoka na amekuwa mchungaji wa kondoo walio nona.
najua kwa nini umewa-group hawa watu pamoja NYU!!!!!
my dia wako akiwa kwako akitoka si unajua???????????
Bht hawezi kwenda na ww maana mm ni dugu yake tumbo moja,kama hakukwambia pole sana samaki
Wewe nakupenda sana tena nakuamini.Naomba endelea na ulinzi hivohivo na maombi usiache kwani na mimi silaha yangu kuu ni maombi,lazima abadilike mwaka huu.Na imeandikwa kwenye baibo:"......Mungu ameumba jambo jipya duniani,Mwanamke atamlinda Mwanaume......"afadhali umejionea mwenyewe dadaangu mpenzi
ningeonekana mie mchonganinishi kumbe aka!!!
tuendeleee tu kuomba Mungu atambadilisha
Tatizo langu nilikuamini sana wewe na shemejio xpin.Kumbe ukicheka na Nyani utavuna mabua.Lakini mtoto huyohuyo mmoja my switidali wangu sikuachiii ng'oooooooo.Nitaanza kuweka ulinzi mkali.
bht pacha wako mmefanana sura tu lakini mioyo ni tofauti.Atakwenda tu na mimi kwenye maombi,yeye ni kipenzi cha Mungu.
He basi kama waweza kuyasoma mawazo yangu basi wewe utakuwa tabiri kama Yahaya LoL!
He basi kama waweza kuyasoma mawazo yangu basi wewe utakuwa tabiri kama Yahaya LoL!
Hivi mkuu hiyo avatar yako haijawahi kulalamikiwa na wadau? Mimi huwa inanitisha na kuniumiza macho!
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza! π
Jesus Christ!Tatizo langu nilikuamini sana wewe na shemejio xpin.Kumbe ukicheka na Nyani utavuna mabua.Lakini mtoto huyohuyo mmoja my switidali wangu sikuachiii ng'oooooooo.Nitaanza kuweka ulinzi mkali.
bht pacha wako mmefanana sura tu lakini mioyo ni tofauti.Atakwenda tu na mimi kwenye maombi,yeye ni kipenzi cha Mungu.
Thanks Oh My God!Wewe nakupenda sana tena nakuamini.Naomba endelea na ulinzi hivohivo na maombi usiache kwani na mimi silaha yangu kuu ni maombi,lazima abadilike mwaka huu.Na imeandikwa kwenye baibo:"......Mungu ameumba jambo jipya duniani,Mwanamke atamlinda Mwanaume......"
Yesu na Maria na Yosefu!charity mpz sina sababu ya kugombana na ww kwajili ya huyo mumeo mlevi akilewa hajui alitendalo,Mungu anatupenda sote mm na ww kasoro yy,mm na Twini wangu tumefanan kila kitu mpz roho yake yangu yangu yangu!mtoto c mmoja c kakwambia nina mimba?huamini?ktk maisha usimwamini mtu nmaana hata nasfi yako ni ngumu kuiamini au nakosea?msaheme mumeo but mm ntaendelea kumzalia c tuliambiwa tukaujaze ulimwengu au?
Mamushka mbona umesahau kale kaneno ketu samahani kama nimekukwaza?πππhuwa nahisi ina muunguza macho.......hahaaaaa!!
charity mpz sina sababu ya kugombana na ww kwajili ya huyo mumeo mlevi akilewa hajui alitendalo,Mungu anatupenda sote mm na ww kasoro yy,mm na Twini wangu tumefanan kila kitu mpz roho yake yangu yangu yangu!mtoto c mmoja c kakwambia nina mimba?huamini?ktk maisha usimwamini mtu nmaana hata nasfi yako ni ngumu kuiamini au nakosea?msaheme mumeo but mm ntaendelea kumzalia c tuliambiwa tukaujaze ulimwengu au?
Hivi mkuu hiyo avatar yako haijawahi kulalamikiwa na wadau? Mimi huwa inanitisha na kuniumiza macho!
Samahani kama nitakuwa nimekukwaza! π
Hapo kwenye red ulevi wake najua siku moja utaisha kwa muujiza wa Bwana kwa hilo sina shaka,aftaloo Ninampenda hivyo alivyo kwani aliniambia toka love in first sight kuwa anamkataba na Serengeti bruwariizi.
Hapo kwenye bluu hata Chris Mungu anampenda kwani Mungu si Athumani.
Kwenye Pink mie sina kinyongo na Baba watoto wangu aliteleza tu shetani alimdanganya( nina vita na shetani).Ninampenda sana na maisha yataendelea hivyo kuanzia sasa kaa mbali naye na matumizi ya mtoto nitakuwa nakuletea mimi mwenyewe.
Sijawahi kujuta kukufahamu! Na wala sitegemei kujuta!Hapo kwenye red ulevi wake najua siku moja utaisha kwa muujiza wa Bwana kwa hilo sina shaka,aftaloo Ninampenda hivyo alivyo kwani aliniambia toka love in first sight kuwa anamkataba na Serengeti bruwariizi.
Hapo kwenye bluu hata Chris Mungu anampenda kwani Mungu si Athumani.
Kwenye Pink mie sina kinyongo na Baba watoto wangu aliteleza tu shetani alimdanganya( nina vita na shetani).Ninampenda sana na maisha yataendelea hivyo kuanzia sasa kaa mbali naye na matumizi ya mtoto nitakuwa nakuletea mimi mwenyewe.