Hisia zimepotea kwa mpenzi wangu baada ya kujipunguza mwili ili awe mrembo zaidi

Hisia zimepotea kwa mpenzi wangu baada ya kujipunguza mwili ili awe mrembo zaidi

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kuna mrembo mmoja nilitokea kumpenda, na katika harakati ikapelekea tukapata mtoto naye.

Nilimpenda kutokana na muonekano wake, achilia mbali ni mtu anayependa sana mambo ya urembo urembo.

Pia ni mtu mwenye tabia ya kujisifia sifia, na kuniona mimi kama mtu mwenye bahati kwa kuwa naye.

Kuna kauli moja huwa anapenda kuongea, ambayo huwa inaniumiza sana, ''unajua mimi ni mzuri, inabidi ujivunie unapokuwa na mimi na unihudumie kwa wakati pale ninapohitaji matumizi.''

Nimejaribu kumvumilia kwa muda mrefu, ila bahati nzuri tunaishi mikoa tofauti; kwa hiyo mara nyingi kuonana lazima mmoja aweze kusafiri.

Baada ya kujifungua alinenepa sana, nami nikavutiwa zaidi na muonekano wake kwa sababu mimi huwa napenda warembo wenye miili mikubwa na mvuto.

Kwa upande wake ile hali haikumvutia, akaamua kutumia njia mbali mbali aweze kupungua, na kuwa na mwili mdogo ambao kwangu ulikuwa haunivutii.

Hivi karibuni alikuja kunitembelea, baada ya kuona mwili wake ulivyopungua, hisia zikapotea kabisa; ata tulivyolala sikumfanya chochote, kwa sababu amekua ni wabaridi joto hakuna tena.

Nikamuuliza kwa nini unajipunguza, akasema anataka asizeeke mapema na anataka aendelee kuonekana binti.

Nikamshauri aurudishe ule mwili wake ili hisia pia ziweze kurudi, kwa sababu kwa sasa gari imegoma kuwaka.

Ingawa hakupendezwa na kilichotokea, lakini ndio hivyo hakuna namna.​
 
Kuna mrembo mmoja nilitokea kumpenda, na katika harakati ikapelekea tukapata mtoto naye.

Nilimpenda kutokana na muonekano wake, achilia mbali ni mtu anayependa sana mambo ya urembo urembo.

Pia ni mtu mwenye tabia ya kujisifia sifia, na kuniona mimi kama mtu mwenye bahati kwa kuwa naye.

Kuna kauli moja huwa anapenda kuongea, ambayo huwa inaniumiza sana, ''unajua mimi ni mzuri, inabidi ujivunie unapokuwa na mimi na unihudumie kwa wakati pale ninapohitaji matumizi.''

Nimejaribu kumvumilia kwa muda mrefu, ila bahati nzuri tunaishi mikoa tofauti; kwa hiyo mara nyingi kuonana lazima mmoja aweze kusafiri.

Baada ya kujifungua alinenepa sana, nami nikavutiwa zaidi na muonekano wake kwa sababu mimi huwa napenda warembo wenye miili mikubwa na mvuto.

Kwa upande wake ile hali haikumvutia, akaamua kutumia njia mbali mbali aweze kupungua, na kuwa na mwili mdogo ambao kwangu ulikuwa haunivutii.

Hivi karibuni alikuja kunitembelea, baada ya kuona mwili wake ulivyopungua, hisia zikapotea kabisa; ata tulivyolala sikumfanya chochote, kwa sababu amekua ni wabaridi joto hakuna tena.

Nikamuuliza kwa nini unajipunguza, akasema anataka asizeeke mapema na anataka aendelee kuonekana binti.

Nikamshauri aurudishe ule mwili wake ili hisia pia ziweze kurudi, kwa sababu kwa sasa gari imegoma kuwaka.

Ingawa hakupendezwa na kilichotokea, lakini ndio hivyo hakuna namna.​
Mimi nahisi wewe husimami vizuri kama kichwa cha mahusiano yenu.Mambo mawili usiyopenda kakufanyia,lakini umeshindwa kusema naye umekuja kusemea huku.Ajue vizuri nini hutaki nini unataka
 
Kuna mrembo mmoja nilitokea kumpenda, na katika harakati ikapelekea tukapata mtoto naye.

Nilimpenda kutokana na muonekano wake, achilia mbali ni mtu anayependa sana mambo ya urembo urembo.

Pia ni mtu mwenye tabia ya kujisifia sifia, na kuniona mimi kama mtu mwenye bahati kwa kuwa naye.

Kuna kauli moja huwa anapenda kuongea, ambayo huwa inaniumiza sana, ''unajua mimi ni mzuri, inabidi ujivunie unapokuwa na mimi na unihudumie kwa wakati pale ninapohitaji matumizi.''

Nimejaribu kumvumilia kwa muda mrefu, ila bahati nzuri tunaishi mikoa tofauti; kwa hiyo mara nyingi kuonana lazima mmoja aweze kusafiri.

Baada ya kujifungua alinenepa sana, nami nikavutiwa zaidi na muonekano wake kwa sababu mimi huwa napenda warembo wenye miili mikubwa na mvuto.

Kwa upande wake ile hali haikumvutia, akaamua kutumia njia mbali mbali aweze kupungua, na kuwa na mwili mdogo ambao kwangu ulikuwa haunivutii.

Hivi karibuni alikuja kunitembelea, baada ya kuona mwili wake ulivyopungua, hisia zikapotea kabisa; ata tulivyolala sikumfanya chochote, kwa sababu amekua ni wabaridi joto hakuna tena.

Nikamuuliza kwa nini unajipunguza, akasema anataka asizeeke mapema na anataka aendelee kuonekana binti.

Nikamshauri aurudishe ule mwili wake ili hisia pia ziweze kurudi, kwa sababu kwa sasa gari imegoma kuwaka.

Ingawa hakupendezwa na kilichotokea, lakini ndio hivyo hakuna namna.​
Sawa huyu ni wifi wa ngapi mwaka huu?
 
Back
Top Bottom