Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hispania ya 2008 mpaka 2010 weka mbali na kila kitu..Hispania iliyobeba Kombe la Dunia mwaka 2010 pale South Africa dhidi ya Ufaransa iliyobeba kombe la Dunia mwaka 2018 pale Urusi kipi kilikuwa kikosi bora zaidi? Kuanzia brand ya football, mchezaji mmoja mmoja, na upana wa kikosi, ipi ilikuwa timu bora zaidi?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hispania ya 2008 mpaka 2010 weka mbali na kila kitu..
Linganisha france na italy au kidogo germany ya brazil.
Spain...Kwanzia 1990-2018 timu ambazo zimewahi kutwaa kombe la dunia hakuna kikosi kizuri kama cha Spain ikifuatiwa na france ya akina Zinedine...
hapana mkuu umechemka, france ya akina Zidane walikua na kikosi cha kawaida sana
Nazungumzia 1998 kamanda...
Kumbuka mechi ya Kwanza walitandikwa na Switzerland.Italy (2006) vs France (2018).....
nadhani team mbili hizo zina ufanano kiupande fulani.
tuwaache spain na balaa lao wapumzike kwa sasa