Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hispania iliyobeba Kombe la Dunia mwaka 2010 pale South Africa dhidi ya Ufaransa iliyobeba kombe la Dunia mwaka 2018 pale Urusi kipi kilikuwa kikosi bora zaidi? Kuanzia brand ya football, mchezaji mmoja mmoja, na upana wa kikosi, ipi ilikuwa timu bora zaidi?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Sent from my iPhone using Tapatalk