Meneja CoLtd
Senior Member
- Mar 6, 2021
- 122
- 143
Hapo zamani nchini Kongo kulikua na jamii iliyoamini kwamba wanawake wenye vichwa virefu Wanavutia (WAZURI) zaidi na wanaume wenye vichwa virefu wanakua na NGUVU zaidi na AKILI sana.
Hivyo basi watoto wakizaliwa walilazimika kifungwa nganganga na kitambaa kichwani (LIMPOPO) ili kutengeneza shape inayotakiwa, na zoezi hilo hudumu kwa miezi 6 hadi mwaka.
Tamaduni hii ilianza kupoteza mvuto na kuachwa kabisa miaka ya 1950.
Chakujifunza ni kwamba mtoto akizaliwa anakua na kichwa laini sana hivyo usimlazelaze kwenye vitu vigumu au kumpiga kichwani, utaharibu shape ya kichwa chake au kumuua kabisa
Hivyo basi watoto wakizaliwa walilazimika kifungwa nganganga na kitambaa kichwani (LIMPOPO) ili kutengeneza shape inayotakiwa, na zoezi hilo hudumu kwa miezi 6 hadi mwaka.
Tamaduni hii ilianza kupoteza mvuto na kuachwa kabisa miaka ya 1950.
Chakujifunza ni kwamba mtoto akizaliwa anakua na kichwa laini sana hivyo usimlazelaze kwenye vitu vigumu au kumpiga kichwani, utaharibu shape ya kichwa chake au kumuua kabisa