Historia inaandikwa Simba anamaliza Klabu Bingwa akiwa kinara

Historia inaandikwa Simba anamaliza Klabu Bingwa akiwa kinara

IBRA wa PILI

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
1,503
Reaction score
2,426
Simba 4-1 as vital

Al merehk 2-2 alhaly kwa matokeo haya rasmi simba anakua kinara wa kundi kwan mechi ya mwisho watakapo kutana simba na alhaly ata kama simba atafungwa atabaki kua kinara kwani akuna wa kumfikia kwa point msimamo upo ivi
  • Simba p 13
  • Alhaly p 8
  • As vital P 4
  • All merekh p 2
Hivyo sasa alhaly akishinda zidi ya simba atafikisha point 11 na ndio utakua mchezo wa mwisho wa makundi.

Ikumbukwe simba pia anatinga robo fainali pasipo kupoteza mchezo wowote ule.
Kuna watu shirikisho iliwatoa jasho na kushika mkia wa kundi.

Aya sasa wale wanaobeza sijui watsema nini tena kuhusu ili kundi maana ilikua ni kundi bado gumu kila siku kundi bado gumu, kundi badooo gumu yote sababu simba alikua ana ongoza ongereni simba ongereni lunyasi Taifa kubwa.
 
Hizi mechi nitaanza kufuatilia kuanzia robo fainali ambapo makapi yataanza kutenganishwa na nafaka.
 
Hizi mechi nitaanza kufuatilia kuanzia robo fainali ambapo makapi yataanza kutenganishwa na nafaka.
Machicha & Makapi ya kwanza kabisa hayakufuzu mashindano haya toka kwenye ligi zao. Yaliondolewa.

Makapi mengine yaliachwa katika hatua za awali na raundi ya kwanza. Mengi yakashushwa SHIRIKISHO.

Group stage wana bakia pure wanaume wa kucheza ligi ya mabingwa wa AFRIKA.

Relax, utizame mpira mzuri.
 
Hizi mechi nitaanza kufuatilia kuanzia robo fainali ambapo makapi yataanza kutenganishwa na nafaka.
Machicha & Makapi ya kwanza kabisa hayakufuzu mashindano haya toka kwenye ligi zao. Yaliondolewa. Makapi mengine hayawezi kuchukua ubingwa ktk ligi zao yanasubiria mbeleko.

Makapi mengine yaliachwa katika hatua za awali na raundi ya kwanza. Mengine yakashushwa SHIRIKISHO.

Group stage wana bakia pure wanaume wa kucheza ligi ya mabingwa wa AFRIKA.

Relax, utizame mpira mzuri.
 
Simba 4-1 as vital

Al merehk 2-2 alhaly kwa matokeo haya rasmi simba anakua kinara wa kundi kwan mechi ya mwisho watakapo kutana simba na alhaly ata kama simba atafungwa atabaki kua kinara kwani akuna wa kumfikia kwa point msimamo upo ivi
  • Simba p 13
  • Alhaly p 8
  • As vital P 4
  • All merekh p 2
Hivyo sasa alhaly akishinda zidi ya simba atafikisha point 11 na ndio utakua mchezo wa mwisho wa makundi.

Ikumbukwe simba pia anatinga robo fainali pasipo kupoteza mchezo wowote ule.
Kuna watu shirikisho iliwatoa jasho na kushika mkia wa kundi.

Aya sasa wale wanaobeza sijui watsema nini tena kuhusu ili kundi maana ilikua ni kundi bado gumu kila siku kundi bado gumu, kundi badooo gumu yote sababu simba alikua ana ongoza ongereni simba ongereni lunyasi Taifa kubwa.
Yanga ilishawahi kiwa juu miaka ya zani wakati rekodi haziwekwi vizuri wewe.
 
IMG-20210405-WA0083.jpg
 
Yanga ilishawahi kiwa juu miaka ya zani wakati rekodi haziwekwi vizuri wewe.
Ayo mambo ya zam za kale atutaki sema ni mwaka gani , 2003 simba alimtoa zamaleki ambae alikua bingwa mtetezi wa Africa
Juzi hapa 2018 simba alitinga robo final klabu bingwa akiwa na point 9
ina maana record aziwek vzur kwa yanga tu?
Mbona mnasema kachukua ubingwa Mara 27 hii inakumbukwa zingne izi azikuwekwa vizuri sio
 
Ayo mambo ya zam za kale atutaki sema ni mwaka gani , 2003 simba alimtoa zamaleki ambae alikua bingwa mtetezi wa Africa
Juzi hapa 2018 simba alitinga robo final klabu bingwa akiwa na point 9
ina maana record aziwek vzur kwa yanga tu?
Mbona mnasema kachukua ubingwa Mara 27 hii inakumbukwa zingne izi azikuwekwa vizuri sio
Wenzenu wanaweka rekodi za kubeba makombe nyie mna rekodi eti ya kumtoa Zamaleki, nyie ndio Rage alikuwa anawasema.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom