Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Tunakwenda kutafuta uzalendo kwenye historia Leo hii karne ya 21, karne ambayo watu awataki kupoteza muda kusoma vitu visivyo na tija maishani Bali wanawaza kuwaza namna yakufanya ubunifu katika kila ngazi ya maisha.
Je, uzalendo wetu umepotea kwa sababu watu awajui historia au kwa sababu mfumo wa uendeshaji nchi unamakosa? Je, tusome historia ambayo hata watawala wakiisimilia wanajikita kuumbuana namna walivyoimomonyoa nchi kwa kuuza rasilimali zetu na kujilimikizia Mali?
Natamani ajitokeze kiongozi ambaye ataachana hata miradi mikubwa ajikite kwa gharama yoyote kutengeneza mtumo wa utoaji haki nchini ili haki isiwe mikononi mwa kiongozi Bali iwe mikononi mwa sheria.
Juzi nilisikitika kumsikia Waziri mmoja analalamika eti wafanyabiashara walikuwa wanakimbilia mqbaraza Kodi; kwa hiyo Kama watu wanakimbilia kwenye tafsiri ya sheria nayo ni kosa Tanzania? Kwamba wakienda huko kwenye mabaraza nakuwagaza wasimamiz wa kodi ndo tukimbilie kubadili mfumo badala ya kuajiri watu competent? Je tukienda nje mipaka ya nchi tunatumia mfumo wa usuluhishi wa kibiashara au tunatumia taskforce kupata haki?
Huu ni mfano mmoja wa namna ambayo usipokuwa na mfumo wa haki ni vigumu haki kupatikana......watu wanakwepa mfumo wa sheria wanakimbilia kwenye mfumo wa dola
Tujenge mfumo wa sheria tusijifunze historia maana historia inajiandika kila siku na kila mtu anaweza akaisoma kwa wakati wake. Dunia ahiitaji wanahistoria inahitaji watu wenye suluhisho na matatizo ya kila siku.
Je, uzalendo wetu umepotea kwa sababu watu awajui historia au kwa sababu mfumo wa uendeshaji nchi unamakosa? Je, tusome historia ambayo hata watawala wakiisimilia wanajikita kuumbuana namna walivyoimomonyoa nchi kwa kuuza rasilimali zetu na kujilimikizia Mali?
Natamani ajitokeze kiongozi ambaye ataachana hata miradi mikubwa ajikite kwa gharama yoyote kutengeneza mtumo wa utoaji haki nchini ili haki isiwe mikononi mwa kiongozi Bali iwe mikononi mwa sheria.
Juzi nilisikitika kumsikia Waziri mmoja analalamika eti wafanyabiashara walikuwa wanakimbilia mqbaraza Kodi; kwa hiyo Kama watu wanakimbilia kwenye tafsiri ya sheria nayo ni kosa Tanzania? Kwamba wakienda huko kwenye mabaraza nakuwagaza wasimamiz wa kodi ndo tukimbilie kubadili mfumo badala ya kuajiri watu competent? Je tukienda nje mipaka ya nchi tunatumia mfumo wa usuluhishi wa kibiashara au tunatumia taskforce kupata haki?
Huu ni mfano mmoja wa namna ambayo usipokuwa na mfumo wa haki ni vigumu haki kupatikana......watu wanakwepa mfumo wa sheria wanakimbilia kwenye mfumo wa dola
Tujenge mfumo wa sheria tusijifunze historia maana historia inajiandika kila siku na kila mtu anaweza akaisoma kwa wakati wake. Dunia ahiitaji wanahistoria inahitaji watu wenye suluhisho na matatizo ya kila siku.