Aliyekuwa na mke mzungu ni Eduardo mondlane, huyu Filipe Samuel Magaia alikuwa ni mkuu wa idara ya usalama ndani ya Fre limo, baada ya Felipe kuuliwa na mtu mmoja wa kuitwa Lourenço idara hii ikawa inaongozwa na Ma chel
Nalog off
da kamdada kamenitoa machozi kabisaaa!! striker hatari!! pamoja na kukamatwa kakatoroka tena!! hakakujua km katakutana na jemadari samora sasa huyu mtoto yuko wapi samora Jr!! south! kwa mama au wapi ako mleta mada tiririka bana!!
SErikali inamsaidiaje huyo mpaka sasa nataka fanya kitu hapo au na yeye alivuta na babaake siku ile kwa ndege?........