Sana tuBig up kijana wa Msimbazi.. Siku zote tutajivunia wewe.
Na huko simba tunavuta mpunga kunaile kandarasi ni tamu sanaHii ni taarifa njema sana.
kweli mbona mapema hivyoTaarifa chini ya kapeti zinadokeza kuwa msimu ujao atakuwa Juventus. Wapo katika hatua za mwisho za mazungumzo. Stay tuned.
atakuwa mzanzibar huyu sio MTZSamata atakuwa sio mtanzania
kweli kabisa jamaa anajua ndo star wabongo ninaye mkubali wengine waganga njaa tuDogo anatutoa kweli kweli watanzania.
anakusalimia sana samattakaza buti kijana
we fanya mambo uliletee sifa taifa lako acha siasaSifa kwa Tanzania kwa ujumla anahitaji pongezi za dhati SamaGoal77.
mwambie asante na asisahahu kusaveanakusalimia sana samatta
amuambia maana GENK ni mji ulio karibu na chuo cha mates wangumwambie asante na asisahahu kusave
kusave nini lakinimwambie asante na asisahahu kusave
kwa kweli aje bongo awekeze asiwe jingant
amuambia maana GENK ni mji ulio karibu na chuo cha mates wangu
Aje kuzitumia na toto la kichagga sio? Akuze uchumi wetu asijeenda kula na mnigeria au mkongo pesa zikaenda huko.mwambie asante na asisahahu kusave
aweke akiba ya pesakusave nini lakini
kabisa awe na akili la sivyo atakuja hapa tumchezeshe simba na yanga kwa mkopo na masimango juuAje kuzitumia na toto la kichagga sio? Akuze uchumi wetu asijeenda kula na mnigeria au mkongo pesa zikaenda huko.