kila zama na kitabu chake πNaanzia kushoto kwenda kulia
1) Salim Ahmed Salim
2) Joseph Sinde Warioba
3) Rashid Mfaume kawawa
4) Julius Kambarage Nyerere
5) Ali Hassan Mwinyi
6) Idrissa Abdul Wakiil
7) Maalim Seif Sharif Hamad
N: waliohai hapo ni wawili
Joseph Sinde Warioba
Salim Ahmed SalimView attachment 2932486
shukran Jazilanπ Ramadhan Mubarak
Ni kweli ππUfupi sio Kilema na ndio maana hawatumii magongo
Unamzungumzia Chid au?Kuna watu wafupi jamani kaa