Historia: Tulipotoka na tulipo

Historia: Tulipotoka na tulipo

Amin usiamini huo ni mto Msimbazi enzi ya utawala wa Mjerumani-mpaka mashua zilikuwa zinapuyanga kwenye mto

Hapa ni enzi za utawala wa mjerumani

IMG_20240416_164037_730.jpg
 
IMG_20240416_204603_333.jpg

Dar,enzi ya mjerumani.
Railway station hapo.
Mpanda farasi/punda anaelekea Gerezani

Hilo jengo ndio lile linaangaliana na central police. Huyo mpanda farasi anaelekea kule kwenye keep left ya kurasini au kule kwenye njia ya kwenda ofisi za TiGo na majani ya chai.
 
IMG_20240416_205937_236.jpg

Wakiwa na tabasamu la furaha ni Bwana Reginald Mengi na Mkewe Mercy Shangali baada ya kufunga ndoa yao mwaka 1971.
 
Edward Lowasa enzi za uhai wake pichani akiwa na mkewe
IMG_20240416_210109_991.jpg
 
IMG_20240416_210327_802.jpg

Dar enzi ya mjerumani
Sanamu la Bismark,ilikuwa kwenye botanical gardens, mwingereza akaiondoa na ile ya Wissmann pale askari monument, ya Wissmann ilirejeshwa Ujerumani. Kulikuwa na nyingine ya Bismark Tanga mjini.
 
Dar-Lumumba street
Tanu yajenga nchi
Long time ago
IMG_20240417_235234_468.jpg
 
IMG_20240417_235613_268.jpg

Kariakoo hiyo enzi hizo. Huu ndiyo mtaa unaoingia Sokoni Kariakoo Shimoni. Huu ni mtaa wa Nyamwezi naona upande wa kushoto kuna mkunguni kwa kina marehemu Bwiru Kasembe na huu unakwenda mpaka Uhuru au Kichwele,Ukiangalia vizuri hiyo mishale miwili pembeni, inakuonyesha kingo za kuta za pembeni ambapo hapo magari ya mizigo yalikua yakipita na kushuka chini Shimoni kwa ajili ya kushusha ama kupakia bidhaa. Aliyepita maeneo hayo atakubaliana nami.
 
Back
Top Bottom