Historia ya Adam Weishaupt, mzee wa (N.W.O)

Historia ya Adam Weishaupt, mzee wa (N.W.O)

Asanteni wakuu...huyo jamaa alikuwa balaa.
 
Haya mambo ya Freemason ni umasikini wetu tu na kukosa elimu ndio kunatufanya tuwaze haya.
 
Haya mambo ya Freemason ni umasikini wetu tu na kukosa elimu ndio kunatufanya tuwaze haya.

Kuhusu kushiriki kiukweli ni umasikini wa fikra ila, kuwa jadili walio shiriki ni ukomavu wa fikra,nilazima kuwa jua vizuri ili usijekuta tuna shiriki bila ya,sisi kujua.
 
Jesuits ni organisation Chini ya roman iliojivua gamba ikawa na lengo LA kuua wapinga rome wote kipindi kile sasa saiv Chini ya Adam ndo ikaanza freemasonry so Adam alitumiwa na Rome tu na nani yupo nyuma ya new world order ni roma, ngumu kumeza ila subirini huyu rais mpya wa marekani atakae kuja na sura mpya kbs
 
Naomba kupata ufafanuzi juu ya kabbalah, eastern philosophy nikimaanisha nguvu zake na mafundisho yake yanalenga nini hasa na yana nguvu gani katika uliwengu wa siri uliofichika
 
Trust me Aleyster Crowley is the son of the devil...an evil man to the final extent!

Anton LaVey je? Aliyeanzisha kanisa kabila la kuabudu shetani. Mtoto wake mmoja akamuita jina Satan
 
nenda google kitu kinaitwa Thelema ndo utamuelewa vzr Aleister kuwa ni hatare sana
Aleyster alikuwa mouvu yeye kama yeye,lakini adamu mpaka maovu yote ,mauaji yote yanafanyika sasa hivi duniani hapa kila idara ni mipango yake..ameharibu dunia.Soon nitashusha kitu cha illuminat hapa ujue uovu wake
 
Aleyster alikuwa mouvu yeye kama yeye,lakini adamu mpaka maovu yote ,mauaji yote yanafanyika sasa hivi duniani hapa kila idara ni mipango yake..ameharibu dunia.Soon nitashusha kitu cha illuminat hapa ujue uovu wake
Mkuu usiache kunitag kwenye huo uzi.
 
Back
Top Bottom