Haya mambo ya Freemason ni umasikini wetu tu na kukosa elimu ndio kunatufanya tuwaze haya.
Nina hiyo documentary ya maisha yake, ni mtu muovu sana...anafaa kuitwa mtu muovu kuliko wote
Trust me Aleyster Crowley is the son of the devil...an evil man to the final extent!
nenda google kitu kinaitwa Thelema ndo utamuelewa vzr Aleister kuwa ni hatare sanaHuwa nashindwa kujua kati ya Aleister Crowley na Adam Weishaupt nani muovu Zaidi..
Aleyster alikuwa mouvu yeye kama yeye,lakini adamu mpaka maovu yote ,mauaji yote yanafanyika sasa hivi duniani hapa kila idara ni mipango yake..ameharibu dunia.Soon nitashusha kitu cha illuminat hapa ujue uovu wakenenda google kitu kinaitwa Thelema ndo utamuelewa vzr Aleister kuwa ni hatare sana
Mkuu usiache kunitag kwenye huo uzi.Aleyster alikuwa mouvu yeye kama yeye,lakini adamu mpaka maovu yote ,mauaji yote yanafanyika sasa hivi duniani hapa kila idara ni mipango yake..ameharibu dunia.Soon nitashusha kitu cha illuminat hapa ujue uovu wake
Sawa kamandaMkuu usiache kunitag kwenye huo uzi.