Wana historia wa vita vya Kagera / Uganda wamekuwa wakiwataja makamanda wakuu wa vita hivyo waliokuwa na vyeo vya Brigedia kwenda juu.
Majina kama Abdalah Twalipo, Tumainieli Kiwelu, John Walden, Ahmed Kitete, na wengine yametajwa zaidi ktk historia ya vita vya Kagera.
Lakini chini ya makamanda hao walikuwepo wakuu wa vikosi ambao walipiganisha vita hiyo. Miongoni mwao walikuwepo Lt.Col. Lupembe, Lt.Col. Msuya, Lt.Col. Kisanko, Lt.Col. Bayeke, na wengine.
Hapo chini kuna historia ya Brig.Jen.Ambrose Bayeke ambaye wakati wa vita vya Kagera alikuwa Mkuu wa vikosi mojawapo ktk vita hiyo.
Majina kama Abdalah Twalipo, Tumainieli Kiwelu, John Walden, Ahmed Kitete, na wengine yametajwa zaidi ktk historia ya vita vya Kagera.
Lakini chini ya makamanda hao walikuwepo wakuu wa vikosi ambao walipiganisha vita hiyo. Miongoni mwao walikuwepo Lt.Col. Lupembe, Lt.Col. Msuya, Lt.Col. Kisanko, Lt.Col. Bayeke, na wengine.
Hapo chini kuna historia ya Brig.Jen.Ambrose Bayeke ambaye wakati wa vita vya Kagera alikuwa Mkuu wa vikosi mojawapo ktk vita hiyo.