Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,321
Hey pals,,
I hope mko poa
Kwanza tuanze kwa kibwagizo kidogo tu
👇
Baba uliye juu mbinguni,wewe ndo Baba wa taifa,,/
Huyu Baba tuliye pewa hana lolote ni sifa,,,/
Hizo ni line nilizo kuta kwenye clip moja huko you tube ya jamaa mmoja akifanya freestyle kwenye Dakika kumi za maangamizi ambayo huwa segment inayo ruka kwenye kipindi cha planet bongo East Africa radio.
Kusema ukweli sikumwelewa jamaa alicho maanisha ila nilipenda tu jamaa alivyo kuwa akiflow na kumpa sifa Baba yetu aliye mbinguni (MUNGU).
Okay tuacheni hiyo,
Nimekuwa nikifuatilia matamko ya viongozi wa chama hiki bila kusahau Kinaitwa CCM,kama nimekosea jina lake vizuri mtanikosoa wadau,Matamko ya viongozi wa chama hiki kwenye awamu hii ya tano ni tofauti kabisa na awamu zingine zilizo pita,kwa ufupi ni kuwa wanajiamini kupitiliza kiasi kwamba naanza kuwaza baadhi ya vitu,
Moja ya maswali ninayo jiuliza ni haya hapa
👉Walio kianzisha chama hiki walifikiria kuwa ipo siku kuna chama kingine kitakuja kuchukua utawala wa nchi hii?
👉Au kilianzishwa ili kitawale milele?,Na kama Kilianzishwa kitawale milele nini kilifanya Hao watu waanzishe mfumo wa vyama vingi?
👉Je,mfumo wa vyama vingi ni kiini macho tu?
👉Je,haya mambo yanayo fanywa awamu hii ya kuminya demokrasia ndo yalikuwa ni moja ya mikakati ya kuanzishwa chama hiki? viongozi walio pita awamu zingine mbona hatukuyashuhudia haya? Au waliogopa kuyafanya kwa kuwa walikuwa na roho ya utu huku wakienda kinyume na mikakati ya chama chao?
👉Je,Awamu hii ya tano ndo kapatikana kiongozi ambaye anafanya Yale yote ambayo waasisi wa chama hiki waliyaweka kwenye mikakati yao?
👉Au uwezo mdogo wa viongoz wa awamu hii kujibu hoja ndo Ume wafanya CCM kuwabana upinzani?
NB: Kwa yanayo endelea kwa sasa hapa nchini ni kuwa CCM hawataki kutoka madarakani kwa kura labda kuna njia nyingine wanataka upinzani wafanye.
CCM lazima itoke madarakani kwa kura, ila kabla ya kura lazima viongozi wa upinzani wafanye kitu.
Jimmy-De-Lite
I hope mko poa
Kwanza tuanze kwa kibwagizo kidogo tu
👇
Baba uliye juu mbinguni,wewe ndo Baba wa taifa,,/
Huyu Baba tuliye pewa hana lolote ni sifa,,,/
Hizo ni line nilizo kuta kwenye clip moja huko you tube ya jamaa mmoja akifanya freestyle kwenye Dakika kumi za maangamizi ambayo huwa segment inayo ruka kwenye kipindi cha planet bongo East Africa radio.
Kusema ukweli sikumwelewa jamaa alicho maanisha ila nilipenda tu jamaa alivyo kuwa akiflow na kumpa sifa Baba yetu aliye mbinguni (MUNGU).
Okay tuacheni hiyo,
Nimekuwa nikifuatilia matamko ya viongozi wa chama hiki bila kusahau Kinaitwa CCM,kama nimekosea jina lake vizuri mtanikosoa wadau,Matamko ya viongozi wa chama hiki kwenye awamu hii ya tano ni tofauti kabisa na awamu zingine zilizo pita,kwa ufupi ni kuwa wanajiamini kupitiliza kiasi kwamba naanza kuwaza baadhi ya vitu,
Moja ya maswali ninayo jiuliza ni haya hapa
👉Walio kianzisha chama hiki walifikiria kuwa ipo siku kuna chama kingine kitakuja kuchukua utawala wa nchi hii?
👉Au kilianzishwa ili kitawale milele?,Na kama Kilianzishwa kitawale milele nini kilifanya Hao watu waanzishe mfumo wa vyama vingi?
👉Je,mfumo wa vyama vingi ni kiini macho tu?
👉Je,haya mambo yanayo fanywa awamu hii ya kuminya demokrasia ndo yalikuwa ni moja ya mikakati ya kuanzishwa chama hiki? viongozi walio pita awamu zingine mbona hatukuyashuhudia haya? Au waliogopa kuyafanya kwa kuwa walikuwa na roho ya utu huku wakienda kinyume na mikakati ya chama chao?
👉Je,Awamu hii ya tano ndo kapatikana kiongozi ambaye anafanya Yale yote ambayo waasisi wa chama hiki waliyaweka kwenye mikakati yao?
👉Au uwezo mdogo wa viongoz wa awamu hii kujibu hoja ndo Ume wafanya CCM kuwabana upinzani?
NB: Kwa yanayo endelea kwa sasa hapa nchini ni kuwa CCM hawataki kutoka madarakani kwa kura labda kuna njia nyingine wanataka upinzani wafanye.
CCM lazima itoke madarakani kwa kura, ila kabla ya kura lazima viongozi wa upinzani wafanye kitu.
Jimmy-De-Lite