Historia ya Dkt John Pombe Magufuli

Historia ya Dkt John Pombe Magufuli

Anyways yote ni sawa tu japo sijui ni kwanini nilipomaliza tu Kusoma huu Wasifu ghafla nikajikuta namkumbuka ( tena Kihuruma na Kimajonzi zaidi ) Mtanzania Mwenzangu ambaye sijui yupo Hai au alishatutangulia Kitambo tu mbele ya Haki Ben Saanane.
Mleta Mada hajatimiza Historia ya Magufuli naona kaelezea au kapaste ile ya Palamagamba Kabudi
Kuhusu upande wa watoto sina uhakika km Mama Janet alifikisha watoto wanne
Kuna kiongozi mmoja mahiri sana alikataa wosia wa Meya wa Jiji Masaburi alipotaka kuminya wake wangine na watoto wa nje wa Masaburi akawataja yeye mwenyewe
Yote tumuachie Mungu amlaze mpendwa wetu tutamkumbuka kwa yote hasasa tumbuatumbua
 
Wewe uko ndani ya Moyo wangu labda?
Kivipi tena
Mleta Mada hajatimiza Historia ya Magufuli naona kaelezea au kapaste ile ya Palamagamba Kabudi
Kuhusu upande wa watoto sina uhakika km Mama Janet alifikisha watoto wanne
Kuna kiongozi mmoja mahiri sana alikataa wosia wa Meya wa Jiji Masaburi alipotaka kuminya wake wangine na watoto wa nje wa Masaburi akawataja yeye mwenyewe
Yote tumuachie Mungu amlaze mpendwa wetu tutamkumbuka kwa yote hasasa tumbuatumbua
Kweli mkuu ndio maana nimerejea video ya kabudi
 
Kifo ni fumbo.magufuli leo mwanza angefufuka hata dk moja tu ndo angejua ni kiasi gani alipendwa.
R.I.P JPM
kweli lakini Dar ni funga kazi, waliweza kuingia ndani ya uwanja wa Ndege Terminal 1 wakitaka kuisindikiza ndege iliyobeba mwili
 
Seminary alifukuzwa kw akufeli

Form Six alifeli akaenda kusomea ualimu

Ni mwalimu wa sekondari,most lowly profession of anybody

Chuo Kikuu aliingia mature entry

Alifeli PhD,marehemu Ben Saanane ana ushahidi na kilichopelekea kifo chake

Hana IQ kubwa...

Those are FACTS

I'm sorry you are sad to hear them but are FACTSSSS!
Duh Ben saanane Yuko wapi asema haya.
Ila kuna kitu mkuu
 
Historia za viongozi wetu zinaanzia tu walipozaliwa hazielezezi kuhusu wazazi na maeneo yao kidogo kiundani unaambiwa tu kuzaliwa mwaka fulan,wazazi hawatajwi popote tunaonana tu walitoka Katoma tarafa ya Bugando na kuhamia Chato sababu za kuhama hakuna yaani historia za viongozi wetu ni za kisanii sanii sana
 
Historia za viongozi wetu zinaanzia tu walipozaliwa hazielezezi kuhusu wazazi na maeneo yao kidogo kiundani unaambiwa tu kuzaliwa mwaka fulan,wazazi hawatajwi popote tunaonana tu walitoka Katoma tarafa ya Bugando na kuhamia Chato sababu za kuhama hakuna yaani historia za viongozi wetu ni za kisanii sanii sana
Hapana mkuu hiyo ni Historia yake haielezei historia ya maisha yao kuanzia yeye na wazazi au familia nzima.
Hivyo labda ni vyema kuwe na historia kuhusu wazazi wake
 
Hapana mkuu hiyo ni Historia yake haielezei historia ya maisha yao kuanzia yeye na wazazi au familia nzima.
Hivyo labda ni vyema kuwe na historia kuhusu wazazi wake
Kuna haja viongozi wetu historia zao ziwe wazi na sio Kama hivi sasa kazaliwa mwaka fulan kasoma shule Fulani kafanya kazi fulani kafariki imeisha hizi historia hazijitoshelezi
 
Kuna haja viongozi wetu historia zao ziwe wazi na sio Kama hivi sasa kazaliwa mwaka fulan kasoma shule Fulani kafanya kazi fulani kafariki imeisha hizi historia hazijitoshelezi
Kweli mkuu lakini Inatakiwa historia hizo wawe wanazitoa wenyewe wakiwa hai pamoja na wazazi wao hapo Ndo zinaweza kuwa vizuri
 
Historia za viongozi wetu zinaanzia tu walipozaliwa hazielezezi kuhusu wazazi na maeneo yao kidogo kiundani unaambiwa tu kuzaliwa mwaka fulan,wazazi hawatajwi popote tunaonana tu walitoka Katoma tarafa ya Bugando na kuhamia Chato sababu za kuhama hakuna yaani historia za viongozi wetu ni za kisanii sanii sana

Kumbe na wewe umeliona?
Nimejiuliza sana pindi niliposoma eti walihamia Chato
Sasa huyo aliewahamisha (Baba) hajulikani na alifanya kazi gani maana naona kaibuka Pombe tu

Ninavyojua historia huwa inaandikwa mpaka baba na hata kazi zake na hata Babu
Ila uhamiaji kiboko wakikuvalia njuga utaulizwa mpaka makaburi ya wahenga wote
 
Kumbe na wewe umeliona?
Nimejiuliza sana pindi niliposoma eti walihamia Chato
Sasa huyo aliewahamisha (Baba) hajulikani na alifanya kazi gani maana naona kaibuka Pombe tu

Ninavyojua historia huwa inaandikwa mpaka baba na hata kazi zake na hata Babu
Ila uhamiaji kiboko wakikuvalia njuga utaulizwa mpaka makaburi ya wahenga wote
Kweli mkuu hii ni vyema kuandaliwa na wao
 
Historia za viongozi wetu zinaanzia tu walipozaliwa hazielezezi kuhusu wazazi na maeneo yao kidogo kiundani unaambiwa tu kuzaliwa mwaka fulan,wazazi hawatajwi popote tunaonana tu walitoka Katoma tarafa ya Bugando na kuhamia Chato sababu za kuhama hakuna yaani historia za viongozi wetu ni za kisanii sanii sana
Umenikumbusha kitabu cha historia ya rais wa zamani wa Marekani Harry S. Truman, kimeandikwa na muandishi nguli David McCullough. Kinaitwa "Truman". Kimetolewa mwaka 1992. Kitabu hiki pia kilifanyiwa sinema ya kampuni ya HBO.

Katika kitabu hicho, kilichoshinda nishani ya Pulitzer, muandishi David McCullough kabla ya kuanza kukupa historia ya Truman anaanza kukupa historia ya familia yake kwanza ilivyoingia na kuhamahama Marekani.

Yani kabla ya kuelezwa kuhusu Truman, unaelezwa kuhusu family tree ya Truman kwanza.

Ukija kufika kwa Truman mwenyewe inakuwa kama ushajengewa msingi wa kuanza kuelewa mtoto atakayezaliwa katika mlolongo huu anaweza kuwa vipi.

Ulivyoitaja hii point moja kwa moja nikakumbuka hicho kitabu. Hapo ndipo unaweza kuona tofauti ya muandishi nguli anayepata nishani ya Pulitzer na muandishi anayelipua lipua tu.
 
Umenikumbusha kitabu cha historia ya rais wa zamani wa Marekani Harry S. Truman, kimeandikwa na muandishi nguli David McCullough. Kinaitwa "Truman". Kimetolewa mwaka 1992. Kitabu hiki pia kilifanyiwa sinema ya kampuni ya HBO.

Katika kitabu hicho, kilichoshinda nishani ya Pulitzer, muandishi David McCullough kabla ya kuanza kukupa historia ya Truman anaanza kukupa historia ya familia yake kwanza ilivyoingia na kuhamahama Marekani.

Yani kabla ya kuelezwa kuhusu Truman, unaelezwa kuhusu family tree ya Truman kwanza.

Ukija kufika kwa Truman mwenyewe inakuwa kama ushajengewa msingi wa kuanza kuelewa mtoto atakayezaliwa katika mlolongo huu anaweza kuwa vipi.

Ulivyoitaja hii point moja kwa moja nikakumbuka hicho kitabu. Hapo ndipo unaweza kuona tofauti ya muandishi nguli anayepata nishani ya Pulitzer na muandishi anayelipua lipua tu.
Ngoja na sisi tujikite katika uandishi kama huo
 
Back
Top Bottom