Kumbe hujui hata historia uliyoiandika mwenyewe! Mwaka 1975 alijiunga seminary ya Katoke huko Mkoa wa Kagera, ilikuwaje akahamia Lake Secondary ambayo ni ya serikali mkoa wa Mwanza akiwa form 4? So sad hujui halaf bado unabisha...Kama hujui uliza!!!Alifukuzwa seminary gany, lini na kwakosa gani?
Mungu akujalie kwa kumuombea mwwnzio matatizo.
Ndiyo sifahamu ndo maana nimeuliza alifukuzwa lini na kwa kosa gani?Kumbe hujui hata historia uliyoiandika mwenyewe! Mwaka 1975 alijiunga seminary ya Katoke huko Mkoa wa Kagera, ilikuwaje akahamia Lake Secondary ambayo ni ya serikali mkoa wa Mwanza akiwa form 4? So sad hujui halaf bado unabisha...Kama hujui uliza!!!
Nilowahi yasikia toka kwa classmate wake (rafiki yake) wa Katoke Seminary ni kwamba yeye na huyo mtoa taarifa (classmate wake) kwa pamoja walifukuzwa kwa kosa la kukutwa bweni la wasichana huenda walikuwa wakifukuzia kuosha plug.Seminary alifukuzwa kw akufeli
Form Six alifeli akaenda kusomea ualimu
Ni mwalimu wa sekondari,most lowly profession of anybody
Chuo Kikuu aliingia mature entry
Alifeli PhD,marehemu Ben Saanane ana ushahidi na kilichopelekea kifo chake
Hana IQ kubwa...
Those are FACTS
I'm sorry you are sad to hear them but are FACTSSSS!
Asante kwa taarifa hiyo mkuu,Nilowahi yasikia toka kwa classmate wake (rafiki yake) wa Katoke Seminary ni kwamba yeye na huyo mtoa taarifa (classmate wake) kwa pamoja walifukuzwa kwa kosa la kukutwa bweni la wasichana huenda walikuwa wakifukuzia kuosha plug.
Elimu baada ya secondary Magufuli alijikuta ni mwalimu na huyo classmate aliajiliwa benki na baadae alifukuja fukuzwa sababu ya ulevi. Mpaka leo hii ni mlevi wa pombe kupindukia na kipindi cha uhai wa Magufuli ilikuwa ukimsikia akilaani sana Magufuli kuwa maarufu zaidi yake na wakati eti yeye kitaaluma alimzidi Magufuli darasani na Magufuli aliishia kuwa mwalimu na yeye Meneja wa benki.
Wasiliana na seminary watakupa maelezo zaidiNdiyo sifahamu ndo maana nimeuliza alifukuzwa lini na kwa kosa gani?
Au hukunielewa na wewe.
Mkuu kwa watu tulio soma biashara ni kwamba Taasisii hairuhusiwi kutoa taarifa za mteja kwa mtu yeyote, hivyo seminary hawawezi toa taarifa zake bila ruhusa ili kurinda bland ya Taasisii.Wasiliana na seminary watakupa maelezo zaidi
Basi ndo nakupa za chini ya kapeti, jamaa alifukuzwa alipokuwa form 3 mwishoni, alitoroka sijui kwenda kunywa lubisi na matatizo mengine..Mkuu kwa watu tulio soma biashara ni kwamba Taasisii hairuhusiwi kutoa taarifa za mteja kwa mtu yeyote, hivyo seminary hawawezi toa taarifa zake bila ruhusa ili kurinda bland ya Taasisii.
Hapo napata ukakasi hata sielewi kipi ni kipi.Basi ndo nakupa za chini ya kapeti, jamaa alifukuzwa alipokuwa form 3 mwishoni, alitoroka sijui kwenda kunywa lubisi na matatizo mengine..
Inawezekana... kikubwa ni kweli alifukuzwa form 3 mwishoni au form 4 mwanzoni. Lakin I doubt kama seminary huwa zinachanganya wanafunzi wa kike na kiume katika shule moja. Labda kama walikutwa shule ya jirani. Sababu haijulikani vizuri. Wengine wanasema alikuwa na matatizo ya kichwa ( shake well before use) toka udogo wakeHapo napata ukakasi hata sielewi kipi ni kipi.
Mdau hapo juu amesema alifukuzwa akiwa 4m4 kwa kosa la kukutwa bwenini kwa mamanzi.
Jina la Pombe sio la utani, ni jina halisi alipewa na bibi yake mzaa baba, maana siku anazaliwa, huyo bibi yake alikuwa amepika pombe ( walwa) hapo nyumbani kwao.John-la ubatizo
joseph-lake kabisa
pombe-la utani
Magufuli-la baba ake
Hutu lileHistoria za viongozi wetu zinaanzia tu walipozaliwa hazielezezi kuhusu wazazi na maeneo yao kidogo kiundani unaambiwa tu kuzaliwa mwaka fulan,wazazi hawatajwi popote tunaonana tu walitoka Katoma tarafa ya Bugando na kuhamia Chato sababu za kuhama hakuna yaani historia za viongozi wetu ni za kisanii sanii sana
Asante madam kwa kurejesha shuhuda hiyo.Mleta uzi nimepita hapa shekilango road sinza ...kati ya vitu vinanifanya nimmiss ni hizi barabara
Yaan sinza kumekuwa kutamu balaa ni unaslide tu, sawa ni hela za kodi yetu but namshukuru Kwa utekelezaji
Hapo sawa nimekupata japo kuna ukakasi mwingi sana hapo.Inawezekana... kikubwa ni kweli alifukuzwa form 3 mwishoni au form 4 mwanzoni. Lakin I doubt kama seminary huwa zinachanganya wanafunzi wa kike na kiume katika shule moja. Labda kama walikutwa shule ya jirani. Sababu haijulikani vizuri. Wengine wanasema alikuwa na matatizo ya kichwa ( shake well before use) toka udogo wake
Ndiyo mkuu hilo jina Pombe (walwa) lilitolewa Kama jina la utani.Jina la Pombe sio la utani, ni jina halisi alipewa na bibi yake mzaa baba, maana siku anazaliwa, huyo bibi yake alikuwa amepika pombe ( walwa) hapo nyumbani kwao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Inawezekana... kikubwa ni kweli alifukuzwa form 3 mwishoni au form 4 mwanzoni. Lakin I doubt kama seminary huwa zinachanganya wanafunzi wa kike na kiume katika shule moja. Labda kama walikutwa shule ya jirani. Sababu haijulikani vizuri. Wengine wanasema alikuwa na matatizo ya kichwa ( shake well before use) toka udogo wake
Kaacha legacyWASIFU:
Taaluma yake;
Dkt, John Joseph Pombe Magufuli ni mwalimu na mtalaamu wa kemia akiwa na Shahada ya Uzamivu (PhD).
Kuzaliwa
Alizaliwa Oktoba 29 mwaka 1959 huko Katoma tarafa ya Bugando wilayani Geita jimbo la Geita vijijini.
Kipindi hicho Geita ikiwa ni moja ya wilaya mkoa Mwanza.
Baadaye wakahamia Chato mkoani Geita, Kaskazini Magharibi mwa Tanzania.
Elimu
Magufuli alipata elimu ya msingi katika shule ya msingi Chato kuanzia mwaka 1967 hadi 1974.
Mwaka 1975 alijiunga na Seminary ya Katoke iliyo Biharamulo, Kagera kwa Elimu ya sekondari na kisha kujiunga na shule ya sekondari ya Lake iliyoko Mwanza hadi 1978 alipohitimu.
Mwaka 1979 alijiunga na shule ya Sekondari ya Upili ya Mkwawa, Iringa kwa ajili ya masomo ya kidato cha tano na sita na kuhitimu Mwaka 1981.
Mwaka 1981 hadi 1982 alisomea Stashahada (Diploma) ya Ualimu wa masomo ya Sayansi katika Chuo cha Ualimu cha Mkwawa, Iringa Masomo makuu yakiwa Kemia na Hisabati
Akiwa kazini, Magufuli aliamua kujiendeleza kwa kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) mwaka 1985 hadi 1988 alipotunukiwa Shahada ya Ualimu katika masomo ya Kemia na Hisabati.
Mwaka 1991 hadi 1994 alisomea Shahada ya Uzamili ya Kemia (Msc. Chemistry) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Tanzania na Chuo Kikuu cha Salford, Uingereza
Mwaka 2009 alitunukiwa Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Mafunzo ya Kijeshi
Kati ya Mwaka 1983 na 1984, Magufuli alipitia mafunzo ya kijeshi kwa mujibu wa sheria kwenye Kambi za Jeshi la Kujenga Taifa Makutupora - Dodoma, Makuyuni - Arusha na Mpwapwa - Dodoma.
Kazi
Baada ya kufuzu Stashahada ya Ualimu, alifundisha masomo ya Hisabati (Mathematics) na Kemia (Chemistry) katika shule ya Sekondari Sengerema kuanzia mwaka 1983.
Baada ya hapo akafanya kazi kama Mkemia katika Chama cha Ushirika cha Nyanza huko Mwanza hadi mwaka 1995.
Siasa
Nyota ya Magufuli liana kung’aa katika siasa, alipogombea na kushinda ubunge eneo la Chato mwaka 1995. Mwaka huo huo aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, nafasi aliyohudumu hadi Mwaka 2000.
Baada ya uchaguzi Mwaka 2000, aliteuliwa kura Waziri wa Ujenzi, nafasi aliyohudumu hadi Mwaka 2006 alipohamishwa kwenda Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi alipokaa hadi Mwaka 2008.
Mwaka 2010, aliteuliwa kawa Waziri wa ujenzi kwa mara ya pili na kudumu kwenye nafasi hiyo hadi Mwaka 2015.
Urais
Mnamo Tarehe 12 Julai 2015, alichaguliwa kuwa mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Akiwa na Samia Suluhu Hassani kama mgombea mwenza.
Tarehe 29 Oktoba 2015 alitangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ushindi wa kura 8,882,935 sawa na 58.46%.
Magufuli aliapishwa kama Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 5 November 2015.
Muhula wa Pili
Mnamo tarehe 30 Oktoba 2020, Tume ya Uchaguzi Tanzania ilimtangaza John Pombe Magufuli kama rais kwa muhula wa pili kwa kupata kura milioni 12.5 hiyo ikiwa ni sawa na asilimia 84 akiwa amemshinda mshindani wake wa karibu, Tundu Lissu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Ameacha watoto 7 ambao ni Suzan, Edina, Joseph, Jesca, Ruth, Jurgen na Jeremiah.
Lakini pia mwanae mmoja aitwaye Juliana yeye alifariki.
Pia amemuacha mjane Janeth Magufuli.
Magufuli majina yake kamili ni John joseph pombe Magufuli mtoto wa Suzan.
Jina pombe alipewa na bibi yake likiwa ni Jina la utani lenye maana ya jina walwa yaani pombe katika lugha ya kisukuma.
Kwa sababu kipindi Magufuli anazaliwa bibi yake alikuwa akitengeneza pombe.
unaweza kutoka shule ya private ukahamia serikali?? yani utoke mbezibeach sec uende azania kwa kuhamiaKumbe hujui hata historia uliyoiandika mwenyewe! Mwaka 1975 alijiunga seminary ya Katoke huko Mkoa wa Kagera, ilikuwaje akahamia Lake Secondary ambayo ni ya serikali mkoa wa Mwanza akiwa form 4? So sad hujui halaf bado unabisha...Kama hujui uliza!!!