Historia ya Dkt John Pombe Magufuli

unauhakika alizaliwa CHATO? tuwekee cheti chake cha kuzaliwa na utuambie alizaliwa hospital gani
Wapi umesikia au umesoma kazaliwa Chato?
Mbona hamtaki kuelewa? Kuna sehemu hapo imetaja kuwa kazaliwa Chato?
 
Wapi umesikia au umesoma kazaliwa Chato?
Mbona hamtaki kuelewa? Kuna sehemu hapo imetaja kuwa kazaliwa Chato?
lete ushahidi wa kuzaliwa huko katoma na ututajie hospital aliyozaliwa vinginevo utakuwa ni walewale wakulungwa.
BEN SAA8 hii ilimkost alipoamua kuingia deep kujua MEKO ni mtanzania au tumepigwa FAMBA
 
lete ushahidi wa kuzaliwa huko katoma na ututajie hospital aliyozaliwa vinginevo utakuwa ni walewale wakulungwa.
BEN SAA8 hii ilimkost alipoamua kuingia deep kujua MEKO ni mtanzania au tumepigwa FAMBA
Umeanza Chato umeona umekosea umerudi katoma.
Sawa mkuu kwa vile unataka kufahamu ni vyema kuanzia leo tambua kuwa Magufuli ni mzaliwa wa katoma pia na makaburi ya wazazi wake upande wa baba yapo katoma.
Pia mimi ni mtu wa maeneo hayo.
 
lete ushahidi wa kuzaliwa huko katoma na ututajie hospital aliyozaliwa vinginevo utakuwa ni walewale wakulungwa.
BEN SAA8 hii ilimkost alipoamua kuingia deep kujua MEKO ni mtanzania au tumepigwa FAMBA
Kuhusu hospitali usizani kila mtu kazaliwa hospitali.
Asilimia kubwa ya watu wanao zaliwa kijijini wamezaliwa nyumbani wala si hospitali maana hata hospitali ni shida kupata.
Magufuli amezaliwa nyumbani kwao katoma.
 
lete ushahidi wa kuzaliwa huko katoma na ututajie hospital aliyozaliwa vinginevo utakuwa ni walewale wakulungwa.
BEN SAA8 hii ilimkost alipoamua kuingia deep kujua MEKO ni mtanzania au tumepigwa FAMBA
Rudi mkuu mbona umepotea
 
Hatimaye kesho mwaka mmoja tangu mwamba atoke umefika.
 
Simple and Clear,
What a history for our Fithy President Generous Man John Pombe Joseph Magufuli
May his soul rest in eternal peace
Thank you.
 
Baada ya magufuli kuwa,watanzania walizizima kwa kilio,wengine walizimia,lkn kwa sasa limetokea kundi linamshambulia jpm na kumwita majina yoote mabaya,
 
Baada ya magufuli kuwa,watanzania walizizima kwa kilio,wengine walizimia,lkn kwa sasa limetokea kundi linamshambulia jpm na kumwita majina yoote mabaya,
Hao wanatafuta kiki. Wameshindwa kuvaa viatu vya mwamba ni vikubwa.

Wataishia awamu hii hii. Mwamba aliwafungua macho watz.
RIP JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…