Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga, Mti Mkavu (1940-2011)

Kende malamu le general.
(Nenda salama Jenerali)
 
Asante kwa taarifa. Ila usiandike tena 'mwadirifu' ni 'mwadilifu', uadilifu, adili etc. Hukusoma 'Adili na nduguze' wewe? Nenda kakitafute.
 
Alazwe pema peponi. Alikuwa SHUJAA kila mtu anajua. Kamwe hakuwa FISADI
 
RIP Mti Mkavu (Hauchimbwi dawa).

Kama Mwanajeshi alikuwa juu sana ila alipoingia kwenye Siasa na kuwa Mkuuwa Mkoa, nafikiri ilimshinda (nisahihisheni kama nimekosea).

Baba Sikonge hajawahi kuwa Mkuu wa Mkoa......Ila Alikuwa mwambata Kenya(Balozi wa kijeshi),akabadilishwa na Gen.Sarakikya........Mwishowe Akapewa Ubalozi wa Kisiasa pale Nigeria na India at different time..(nami napokea masahihisho).Ila hajawahi kuwa Mkuu wa Mokoa Mkuu
 
RIP Major General Mayunga.Daima mchango wako utakumbukwa hasa vita vya Uganda.Naomba kuweka rekodi sawa nikotayari kusahihishwa Mayunga alikuwa na cheo cha Major General si Luten General.

Mwaka 1995 alipandishwa cheo na kuwa Lt. General
 

Ni kweli hajawahi kuwa Mkuu wa Mkoa - bali - Aliwahi kuwa Mwenyekiti CCM wa Mkoa wa Kilimanjaro
 

Mej. Gen. Silas Mayunga aliwahi kuwa Mkuu wa Mkoa na Katibu wa CCM wa mkoa enzi za kofia mbili. Nyakati zile chama kimeshika hatamu na kukawa na Mkoa wa kichama wa Jeshi. Ni kama ilivyokuwa kwa Maj. Gen. Mwita Marwa. ambaye naye aliwahi kuwa mkuu wa mkoa na katibu wa mkoa wa ccm.
 
We say thank you Senior Soldier! You made it! We shall remember you for your contribution to the history fo this nation! Respect on your way always!
 


si kweli na waombe radhi wana JF

Mbona hutaki kumtaja L.T GENERAL IDDI SALEH GAHHU?
 


Marehem hii sifa ya ya ukali na kuwa mbishi ndio ilikuwa yake kule Nigeria.

moja kati ya sifa kubwa ya wanajeshi ni kutii amri na kuwatazama walio chini yao

Jamaa yeye alikuwa tofauti. nikianza kukupa ufisadi wake kule utashangaa na utasema SARAKIKYA na the richest current retired general in Sub Saharan Africa Robert Mboma , haingii ndani
 
Mti mkavu atakumbukwa pale askari walipokosa kuni akawaambia nendeni ktk mti ulio mbele yenu,mara unageuka kuwa mkavu kutoka hali ya ubichi. Kwa ufupi naomba muongozo.
 
Ni Luteni Jenerali sio meja jenerali...usimshushe cheo <br />
<br />
 
R.I.P. Major General Mayunga (mti mkavu)
 
Mungu amlaze peponi shujaa wetu.....Mashujaa kama hawakumbukwi,Mafisadi ndiyo wanaotukuzwa tu hata wakijiuzulu bado kutokana na ujinga watu wengine hulia hadi kuzimia!

wale wa igunga walilipwa kulia............ndo mana RA alitumia zaidi ya mil 200 kujivua ngozi
 
Aliwahi kuwa mkuu wa mkoa, kama sikosei musoma au shinyanga, wakati kiweru yuko kagera
<br />
<br />
 
Kwani Shimbo yuko hai bado ? Maana nilisikia amezidiwa S.A

RIP MAYUNGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…