Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga, Mti Mkavu (1940-2011)

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga, Mti Mkavu (1940-2011)

Wakati nikiwa mtoto nilikuwa nasimuliwa historia ya vita vya Kagera na baadhi ya majank wakanidanganya eti mti mkavu alikuwa akipigwa risasi hafi.... Shukrani kwa historia nzuri
 
Mungu amlaze peponi shujaa wetu.....Mashujaa kama hawakumbukwi,Mafisadi ndiyo wanaotukuzwa tu hata wakijiuzulu bado kutokana na ujinga watu wengine hulia mh we jamaa sijui utakuwa wp sahii
sijui umeresti au umeamua kujificha Mexico kama Makavel
 
Uliongea ukweli mtupu na maneno yako yanaishi hata leo ni kweli Hata wewe leo watu Hawakumbuki tena kama ulikuwepo na Hakuna tena Wanaopaza sauti na mamlaka ziko kimya.
Mungu amlaze peponi shujaa wetu.....Mashujaa kama hawakumbukwi,Mafisadi ndiyo wanaotukuzwa tu hata wakijiuzulu bado kutokana na ujinga watu wengine hulia hadi kuzimia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu amlaze peponi shujaa wetu.....Mashujaa kama hawakumbukwi,Mafisadi ndiyo wanaotukuzwa tu hata wakijiuzulu bado kutokana na ujinga watu wengine hulia hadi kuzimia!
Aisee wewe mwamba, vita hii ulishinda mpaka wakaamua kukupoteza, maana yake walishindwa kupambana na wewe kwenye level playing field wakati hata nchi haikuwa vitani.
Sasa wamepewa vita huko Kongo, wanatutia aibu sana.....
 
Back
Top Bottom