Historia ya Kabila la Wahaya


Wew siyo Mhaya, sema umepakwa rangi tu
 
asante mkuu kwa kusemaukweli
ukitaka kujua wahaya wakoje angakia pale bukoba mjin palivyokaa kishamba
yaan mji hauna daladala n maajabu,standi ya mabasi INA madimbi utadhan bwawa mjin vumbi tupu sasa huko vijijin si ndo balaa

Wewe utakuwa umefika stand tu, kila nchango unaotoa ni stand tu, uko kama yule jmaa wa kujenga barabara tu
 

You will always see what you are up to, wewe una element za uchawi ndiyo maana uko na imani hizo, nani kakwambia wahaya ni wachawi? Hujui mikoa unayoongoza kwa hzo mambo? Wahaya ni watu wanaotumia akili nyingi nguvu kidogo, ukitaka kujua hili wew waite kwenye kazi za nguvu nyingi akili kidgo kama kiwandani aisee huwapati. Njoo kwenye elimu hapa watakuja wote, ndiyo maana mpaka sasa ndiyo kabila linaloongoza kielimu nchini.
 
Nmetembea karibia mikoa yote Tanzania hata hapa nipo safarini ila sjabahatika kufika kagera ndo maana nmeishia tuu kucheka kulingan na comments za wakuu[emoji3] [emoji3]

Comments zao ni za uongo mkuu, wataku laghai tu
 

Mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe kama hujui, unadhani kuna mtu anaweza kujihusisha na kushambulia tukabila twingine kama waha, wanyaturu, wagogo , wasambaa , wapogoro , wandereko na vikabila vingine vilivyo baki, hapo ni sawa na kumshambulia Hashimu Rungwe kisiasa kwani hakuna mtu ana time naye, shambulia chadema sasa uone kazi yake na wapambe kutoka kila kona kukuunga au kukuponda
 
Kuhusu uvivu nakubaliana na wewe 100% aisee hawa watu wavivu jamani ukioa muhaya jipange, unakuta mtu hana kazi na hafanyi kazi.
 
Kuhusu uvivu nakubaliana na wewe 100% aisee hawa watu wavivu jamani ukioa muhaya jipange, unakuta mtu hana kazi na hafanyi kazi.

Kwani lazima uoe kabila kuu(wahaya) ? Kaoe mzaramo kama vp
 
ukweli unauma kagera iko nyuma mno kimaendeleo
huu ni ujinga uliokataa kukutoka kimakusudi, eti mkoa ww kagera uko nyuma kimaendeleo tuambie basi mkoa wako ulio mbele una maendeleo gani ya kuringia, kagera ndo mkoa wenye majanga mengi kuliko yote tz stll sifa yake haikauki midomoni mwa watu.yes mimi ni mhaya kamili na lazima nitetee cha kwetu.halafu humu jf kuna mapoyoyo kibao badala ya kutoa thread zinazojenga umoja wanatoa zile zinazobomoa. umasikini wa mkoa wowote humu tz ni umasikini wa nchi nzima.
 
binafsi nimefka kagera misenyi,karagwe ngara na bukoba
maendeleo yako duni mno
pale stand ya bukoba tu n kielelezo tosha kuwa mpo nyuma haihitaji degree
pia kwa mujibu wa takwimu mkoa wa kagera n wa tatu kwa umaskin
umasikini wetu unachangiwa na watu kama nyie wenye roho za bundi yaani unaona fahari kusema mkoa wetu/wako still sote ni watanzania??? hao wachawi umejuaje kama wewe sio mchawi? we kwa kweli upo duniani kwa bahati mbaya sana.
 
Katika mikoa yenye ahueni ya umaskini ukitoka dar kilimanjaro takwimu za taifa siyo maneno tu
 
Mkuu, kwanza suala la kujiuza halina uhusiano kabisa na wahaya, hata wewe unaweza kuwa mwizi na usiwe mchaga, ila unaweza kujifanya mhaya ili yako yaende utakavyo, pili ishu ya wahaya kutaja bukoba, hiyo ndo sehemu maarufu kama ilivyo Moshi, Songea, Sumbawanga, hadi leo kuna baadhi ya watu wanaamini Moshi, Songea na Sumbawanga ni mkoa, hivyo mtu akisema anatokea bukoba, muulize zaidi anatokea sehemu gani, as Karagwe, muleba, biha'lo, kyelwa, na zamani chato, ilikuwa inakuwa referred kama bukoba ili kurahisisha utambulisho, kuliko nikisema natokea ngara, utaanza kuuliza iko mkoa gani! Anyway, Bukoba na bukoba vijijini maisha yao na struggle zao ni tafauti sana na hayo maeneo uliyotaja, kula ugali bukoba ni symbol ya umasikini, don't play with haya na kuwalisha vyakula vya mifugo, [HASHTAG]#kidding[/HASHTAG][emoji1] [emoji1]
 
mkuu pale bukoba mjin n kichekesho,stand kuu yao imejaa mashimo matupu na vumbi,hauna hotel ya maana,pia mji hauna daladala bodaboda ndio daladala zao sasa hii misifa yao vjui nn
pia kwa mujibu wa takwimu kagera n mkoa wa tatu kwa umaskin
Boss bukoba umeishia stand tu? Umetembelea wapi kwingine? How comes walaumiwe wahaya kwa ubovu wa stand na sioni mkisifia wazaramo kwa kuleta mwendokasi?
 
achana na ya kyakairabwa
hivi pale stand kuu jins palivyo hovyo bado mnajitia kujisifia Sifia?
muleba kule kuna hali ngumu,miseny nyumba za nyasi shaz,karagwe usiseme achen misifa boreshen makaz,heshima ya MTU n nyumba
Walikufanya nn wahaya mkuu mbona unaomekana kuwachukia hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…