Nivizur kutoka hata nje ya nchi kidogo kuliko kukaa ndani nenda Kampala jiji kubwa na zuri lakin bodaboda za kitosha ,nenda Lagos Badobodaboda za kutosha ivo usishangae bodaboda stand.Hata jiji jipya la Dodoma ambapo panategemewa kuwa na stand mpya kubwa na yakisasa kuliko zote East and central Africa bado ramani yake ina parking maalum ya pikipiki na bajaji.stand hujengwa kwa mapato ya ndan ya halmashaur husika,hela zenu mnapeleka wapi?
Stand ya ubungo dar es salaam umeiona inavyofanana
Kama maendeleo yanapimwa kwa stand basi Dar es salaam ingekuwa ni mkoa masikini
mnazidi kuonyesha mlivozidiwa hojaUjue mtu ukitoka marekani alafu ukatua pale posta mpya ukaambiwa hapa ndio Tanzania , alafu kabla ya hapo hukuwahi hata ona Tanzania kwenye picha na wala hujui ukubwa wa Tanzania, basi utajua nchi nzima ya Tanzania ni ipo vile kama posta ,
Hivyo tumsamehe tu mtoa bada kuhusu wahaya , huyu atakuwa ana mahaba na wahaya hivyo chongo anaona kengeza , kengeza anaona chongo,
Pia atakuwa toka amezaliwa hakuwahi safiri mkoa mwingine zaidi ya kagera , bukoba
narudia,bukoba hakuna daladala hata moja hiki n kichekeshoNivizur kutoka hata nje ya nchi kidogo kuliko kukaa ndani nenda Kampala jiji kubwa na zuri lakin bodaboda za kitosha ,nenda Lagos Badobodaboda za kutosha ivo usishangae bodaboda stand.Hata jiji jipya la Dodoma ambapo panategemewa kuwa na stand mpya kubwa na yakisasa kuliko zote East and central Africa bado ramani yake ina parking maalum ya pikipiki na bajaji.
tunawachambua kwasabbabu mkoa wenu n maskin KBS wakt nyie mnajitapa tapaMimi ni Muhaya yaaan muhaya haswaa.. Huwa nafurahi sana naposikia watu wanavyotuongelea wahaya. Bila Shaka shida hipo lakini jamani tuna mazuri yetu pia mbona huwa tukiyaeleza hamtaki kabisa kuyasikia tuliwakosea nn Ndugu??
ktk watu wa ajabu ni wahaya, sifa nyingi wakati hawana lolote
hahahahaNimeishi Bukoba kwa miaka saba, huko watu ni wavivu sana, mzunguko wa pesa kwa Kagera yote ni mgumu sana.
Kuzidiwa hoja ndio nini? Wewe ndio ujibu hoja , sio kusema tu mmezidiwa hoja , bila kuja na hojamnazidi kuonyesha mlivozidiwa hoja
rudin bukoba mjenge kwenu muwe. kama moshi
Pumbavu kabisa, ficha uzwazwa wako
Wahaya ndiyo kabila kuu tz, hata mimi nawakubali, they are so bright kwa kweli
Wew siyo Mhaya, sema umepakwa rangi tu
+ kati ya watu wasikini kifikra umo na wewe
tuliza povu nenda kwenu kainue uchumi wa kagera muondkane na umaskinHuu mchango hauhitajiki
hoja yangu n kuwa bukoba na kagera kiujumla mpo nyuma mno kimaendeleo tofauti n misifa yenuKuzidiwa hoja ndio nini? Wewe ndio ujibu hoja , sio kusema tu mmezidiwa hoja , bila kuja na hoja
mkoa wa kagera n mkoa wa tatu kwa umaskin kwa mujibu wa wizara ya fedhaMti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe kama hujui, unadhani kuna mtu anaweza kujihusisha na kushambulia tukabila twingine kama waha, wanyaturu, wagogo , wasambaa , wapogoro , wandereko na vikabila vingine vilivyo baki, hapo ni sawa na kumshambulia Hashimu Rungwe kisiasa kwani hakuna mtu ana time naye, shambulia chadema sasa uone kazi yake na wapambe kutoka kila kona kukuunga au kukuponda
Naona umekula matango pori mkuuhoja yangu n kuwa bukoba na kagera kiujumla mpo nyuma mno kimaendeleo tofauti n misifa yenu
rudin kwenu mkainue uchumi n aibu mkoa wenu kuwa wa tatu kwa umaskin
+ kati ya watu wasikini kifikra umo na wewe
Popomo mwingine
mkoa wa 3 kwa umaskin tz n kageraComments zao ni za uongo mkuu, wataku laghai tu
elimu gan mnaongoza? labda ya kula seneneYou will always see what you are up to, wewe una element za uchawi ndiyo maana uko na imani hizo, nani kakwambia wahaya ni wachawi? Hujui mikoa unayoongoza kwa hzo mambo? Wahaya ni watu wanaotumia akili nyingi nguvu kidogo, ukitaka kujua hili wew waite kwenye kazi za nguvu nyingi akili kidgo kama kiwandani aisee huwapati. Njoo kwenye elimu hapa watakuja wote, ndiyo maana mpaka sasa ndiyo kabila linaloongoza kielimu nchini.
Kumbe ww ni mshabiki huna uhalisia kuwa na shule nyingi si tatizo tunachoongelea ni performance ujui maproffesa wote tulionao Tanzania zaidi ya nusu yake wanatokea Kagera ?Hata uko Kilomanjaro fatilia kwenye mashule ukikuta wahaya angalia uwezo wao darasani kubali usikubali wana akili sana hata ambae ajaenda shule utakuta anaulewa mkubwa sana kulinganisha na makabila mengine,mpaka mikoa mingine muhaya akigundulika ni kazi kupata chumba cha kupanga maana wenye nyumba wanasema watu hawa ni wajuaji akishakaa anaweza asikulipe kodi na ukimtimua utashangaa anakubuluza mahakamani na unajikuta unamlipa hii kwa sababu ya elimu huwezi kumpelekesha muhaya kiuzembe hata km ajaenda shuleelimu gan mnaongoza? labda ya kula senene
1_mkoa wa Kilimanjaro n mkoa wa kwanza tz kuwa na secondary nyingi (314) ikifuatiwa na dar 299
2_Kilimanjaro n mkoa wa pili kwa makaz bora na maisha bora kwa mujibu wa wizara ya fedha(kule n kawaida mbuz na ngombe kulala kwenye nyumba ya block yenye umeme)
3_KLM n mkoa uliojitosheleza miundombnu karibu yote(zahanat za kutosha,shule,madawati,barabara za lami had I uchochoroni,maji safi 98% no
4_hakuna nyumba za nyasi Kilimanjaro tangu 1980
4umeme umeingia Kilimanjaro 1980's
kama unajidanganya wahaya mpo juu poleni kagera IPO nyuma idara zote
we kweli akili hewa KBS,ndivyo mnavyojidanganyaga mkishakunywa rubisi?Kumbe ww ni mshabiki huna uhalisia kuwa na shule nyingi si tatizo tunachoongelea ni performance ujui maproffesa wote tulionao Tanzania zaidi ya nusu yake wanatokea Kagera ?Hata uko Kilomanjaro fatilia kwenye mashule ukikuta wahaya angalia uwezo wao darasani kubali usikubali wana akili sana hata ambae ajaenda shule utakuta anaulewa mkubwa sana kulinganisha na makabila mengine,mpaka mikoa mingine muhaya akigundulika ni kazi kupata chumba cha kupanga maana wenye nyumba wanasema watu hawa ni wajuaji akishakaa anaweza asikulipe kodi na ukimtimua utashangaa anakubuluza mahakamani na unajikuta unamlipa hii kwa sababu ya elimu huwezi kumpelekesha muhaya kiuzembe hata km ajaenda shule
.
wahay n mbwembwe tu kagera mkoa wao n wa tatu kwa umaskinMm binafsi namshukuru mungu nimejaribu kutembea na kuishi na makabila mengi hapa Tz.Ila wahaya na wasifu vitu viwili hawataki kushindwa wanapigana kweli kweli ili wawe na maisha mazuri.Nimesoma na wahaya wengi sec na vyuoni wanapenda sana kusoma ili siku moja wawe watu wenye nafasi zao ukilinganisha na makabila mengine.
Wahaya wanapendana sana hasa wakishakuwa nje ya Bukoba ,wanapenda kubebana hawataki kuachana ukilinganisha na makabila mengne ambao hawataki kusaidiana.Nakumbuka babangu aliwahi kuniambia huwezi kumuacha mdogo wako tumbo moja ukaenda kumsaidia mtoto wa baba mdogo.Hata wazungu wenye akili zao hawawez kuwaacha wazungu wenzao wakanza kuwasaidia waafrika.
Tatizo la wahaya wana tabia ya kujisifu vitu vya kwao kama Wingereza inavyopenda kusifia vitu vyake na kuonekana vina ubora zaidi.Mfano ligi ya wingereza inaonekana ligi yenye ushindani kwa sababu waingereza wanaisifia san.
Wahaya wanebahatika kusoma mapema na kustaarabika mapema hasa kwenda ulaya mapema ndoo maana nimesoma chuo nikaona maprofesa wengi wanakuwa wakihaya ila sasa hvi ndoo makabila mengine yamejitokeza.
Ukiwa Dar utafikiri ya kwao make wanaonekana wengi kwa kuwa walikuja mapema ,wengi wako kwenye sheria,bandarini ,TRA ,Ikulu na kwenye makampuni kibao huwa tunawakuta.Tatizo kurudi nyumbani kupatengeneza hwataki ila mm nawasifu kwa kupigana na elim alafu kupendana na kusifia vitu vyao mfano ngoma za Saida Karori zamani nilijua ndoo utamaduni wa Tz amabapo makabila yote yanazipenda mpaka Ulaya Saida alienda kupiga nyimbo za kihay.
Wana kitu kinaitwa senene kinawapa jeuri siku hiz makabira yote yanapenda hizo senene na kuwafanya wahaya waone wana vitu unic vinavyo kimbiliwa na makabila yote.Naomba wahaya punguza majivuna ila hongera kwa kupambana hamtaki kushindwa ndoo maana mna maendeleo kwenye mikoa ya watu na ni lazima tuwaonee gere .
kipi cha uongo nilichosema hapoNaona umekula matango pori mkuu
Aisee ni wapi hapo Manzese kwenye utamu. Wanatumia mitandao yote yani voda na tigo au voda tu ? Tuambizane jamani sehemu hizi zenye utamu wa bei chee. Buku 2 tu hakuna kununua chips kuku wala gesti wala vocha...haluuuuWahaya gani unawazungumzia mimi uzuli nimekaa sana wahaya
Nipo nao hapa manzese darajani yaani wengi wao wananiambia wanajuta kuzaliwa bukoba kwa sababu kuna hali ngumu ya maisha ndio maana wengiiii wanaona bora waje mjini kupiga biashara ya ngono.
Biashara ambayo wanapanga nyumba nzima wanaigawa katika vyumba huku wakiuzaaa papuchii elfu 2 baoo mojaa pamoja na chumba na pia hata baadhi wanaume wanatoa kwa bei cheeee.
Kama kuna mtu anabisha ajee manzese darajani au aende mwananyamala hospitali au buguruni sokoni au temeke hospitaliii .
Huo ni uchochezi [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .
Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.
Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.