Hanawachukia wahaya kwa sababu kwa Mh. Magufuri ilikuwa Kagera kabla aijagawa kuwa mkoa, sasa baada kuichukia serikali anaichukia wahayaWalikufanya nn wahaya mbona unawachukia hivyo mpaka koo linatoka kila post unaquotor ww tu utafikir muanzisha tread
Mtu mwenye chuki anajulikana kwa kauli zake, mkuu maana adui yako ndio anakuambia ukweli wa kuumiza ili uhumiesii kweli mkuu
naomba uniambie n wapi nimesema uongo ktk replies zangu zote
Manzese darajani ilo chimbo silijui mkuu au unasemea uwanja wa fisiWahaya gani unawazungumzia mimi uzuli nimekaa sana wahaya
Nipo nao hapa manzese darajani yaani wengi wao wananiambia wanajuta kuzaliwa bukoba kwa sababu kuna hali ngumu ya maisha ndio maana wengiiii wanaona bora waje mjini kupiga biashara ya ngono.
Biashara ambayo wanapanga nyumba nzima wanaigawa katika vyumba huku wakiuzaaa papuchii elfu 2 baoo mojaa pamoja na chumba na pia hata baadhi wanaume wanatoa kwa bei cheeee.
Kama kuna mtu anabisha ajee manzese darajani au aende mwananyamala hospitali au buguruni sokoni au temeke hospitaliii .
naona hata hujui uandikacho,hivi kusema ukweli n chuki?Mtu mwenye chuki anajulikana kwa kauli zake, mkuu maana adui yako ndio anakuambia ukweli wa kuumiza ili uhumie
mkuu mm wala sina interest na kanda yenu mm kanda yangu n kaskazn,ninachofanya n kuwapa ukweli mchungu ili mjitambue muache mbwembwe mjenge mkoa wenua ambao n wa tatu kwa umaskinHanawachukia wahaya kwa sababu kwa Mh. Magufuri ilikuwa Kagera kabla aijagawa kuwa mkoa, sasa baada kuichukia serikali anaichukia wahaya
hahaha hujui usemacho nduguBora uwaeleze wao wanachojua ubishi wa kichama chama hata takwimu hawajui, wanafikiri kuona nyumba ndio kuwa tajiri wakati mwingine wanaishi kwa mashindano ndio Maana mwisho wa siku ni nguvu za ushirikina sana. Wachaga wamekimbia Kilimanjaro kwa sababu hakuna mzunguko mzuri wa Pesa na kingine ushirikina Mkubwa wa wachaga, na ndio Maana mlima Kilimanjaro ulikuwa pale kwa ajiri ya kwenda kutambika na ndio Maana ule mlima haumtajirishi mchaga na wanashindwa hata kujitangaza kwamba wana mlima Kilimanjaro,
n maskin wa kuitisha wamebaki mbwembwe tu Come27Kuna wahay hapa jirani zangu wadada hapa tip top kwa chini mtaa kwa mzee funika wanajuta kuzaliwa uhayani maana wanasema sijui ni laana au vp wanauza k
Hebu ongelea maeneo kama maruku, kibeta, itahwa, kabale,ishozi, katoma,kabogo,bwatangabo,katake,mugana,kashekya,kashaka,lukurungo,nyakibimbili,bunazi,kyetema, bugabo, kamachumu, kemondo, kyamulaile, katoro, au unasema Bukoba vijijini wapi?mkuu bukoba naifahamu yote
imechakaa lami imechubuka,stand n kichekesho hakuna hotel ya maana hata moja zaidi ya vi lodge vyenye makaratas kwenye magodoro,bukoba vijin nyumba za nyasi nyingi mno,misenyi,karagwe ndo kabisaaa,bukoba miundombnu IPO duni mfano muleba,kwakweli n sahihi KBS mkoa wenu kuww wa tatu kwa umaskini
hayo maeneo uliotaj hapo ndio kidg yna unafuu lkn mostly kagera IPO duni sanaHebu ongelea maeneo kama maruku, kibeta, itahwa, kabale,ishozi, katoma,kabogo,bwatangabo,katake,mugana,kashekya,kashaka,lukurungo,nyakibimbili,bunazi,kyetema, bugabo, kamachumu, kemondo, kyamulaile, katoro, au unasema Bukoba vijijini wapi?
Koma kwa Tabora.....Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .
Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.
Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.
Atakuwa alipewa katerelo huyoUmemaliza field uko naona walikupeleka ukafundishe kwa wahaya.
Rudisha report ako chuo sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata Chato Magufuli Ana Gorofa Porini Anafugia Ng'ombe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika huyu jamaa ameng'oa mzizi wa fitina nadhani ameeleza kinaga ubaga, hakika huu ndo ukweli japo wengi hawataki kusikia wala kuamini. HongeraHii imemaliza kila kitu,hongera sana kwa coment nzuri,sema wosia wangu kwa wahaya, mnapondwa sana kutokana na sifa nyingi lakini nyumbani kwenu hakuna kitu.
Yan ukilinganisha maisha ya sifa mjini na maisha halisi ni tofauti ndo mana mnaonekana mizinguo, tofauti na watu wa sehemu zingine tz
Walau umesema ukweliDaladala Zipo,,, Angalia upande zilipo gari zilizoangaliana Na jengo la airtel,pembeni kuna jengo la TTCL Zipo Za kwenda rwamishenye, custom n. K kinachofanya Usione Daladala nyingi ni kwa kuwa root nyingi zinaungwa Na magari yaendayo ndani mfano naenda katoma lazima ntapanda gari Za kanyigo/kyaka/mutukula/karagwe/kashasha/bwanja/mgana/gera/ruzinga/buyango n.k pia kama naenda muutwe ntapanda Za muleba /katoro/biharamulo
Ujue mfumo wa usafiri wa bukoba mjini Sio Sawa Na mikoa mingine,,,, kuhusu stand: kumekuwepo na mgogoro mrefu juu ya uboreshwaji wa stand kwa muda mrefu tangu 2010 but Mpk now stand iko inajengwa kyakairabwa
Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .
Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.
Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.
vp na hali ya umaskini kagera unaxungumziajWalau umesema ukweli