Historia ya Kabila la Wahaya

Walikufanya nn wahaya mbona unawachukia hivyo mpaka koo linatoka kila post unaquotor ww tu utafikir muanzisha tread
Hanawachukia wahaya kwa sababu kwa Mh. Magufuri ilikuwa Kagera kabla aijagawa kuwa mkoa, sasa baada kuichukia serikali anaichukia wahaya
 
Manzese darajani ilo chimbo silijui mkuu au unasemea uwanja wa fisi
 
Hanawachukia wahaya kwa sababu kwa Mh. Magufuri ilikuwa Kagera kabla aijagawa kuwa mkoa, sasa baada kuichukia serikali anaichukia wahaya
mkuu mm wala sina interest na kanda yenu mm kanda yangu n kaskazn,ninachofanya n kuwapa ukweli mchungu ili mjitambue muache mbwembwe mjenge mkoa wenua ambao n wa tatu kwa umaskin
cna chuki na mtu
 
Kuna wahay hapa jirani zangu wadada hapa tip top kwa chini mtaa kwa mzee funika wanajuta kuzaliwa uhayani maana wanasema sijui ni laana au vp wanauza k
 
hahaha hujui usemacho ndugu
wachaga wanakimbia kwao? nenda kule uone investings zoote 99% n za wenyeji wametumia fursa vizuri pia kila mkoa wapo wamewekeza means wanatumia fursa popote
Kilimanjaro fursa zote wao wamezibana kila sekta ndio maana mkoa n wa pili kwa maisha bora,muuza supu Kilimanjaro anamiliki mjengo wa maana na usafiri kutokana na mzunguko wa biashara kuwa mkubwa
pia 90% ya makax ya wana kilmnjaro n bora na ya kisasa hakuna nyumba ya nyasi kule,sasa unapisema wamekimbia kwao sikuelew,nyie wahaya ndio mnakimbia kwenu kisa ushirikina mchaga yy n elimu na hela
kagera imechakaa kwasababu wenyeji wameikimbia
hakuna kabila linalothamin nyumbsn kama wachaga ndio maana wamejenga migorofa vijiin huko
nyumba ya kulala mifugo Kilimanjaro n nxuri kuliko ya mkaz wa muleba
itawachukua miaka 500kuifikia klm
 
Hebu ongelea maeneo kama maruku, kibeta, itahwa, kabale,ishozi, katoma,kabogo,bwatangabo,katake,mugana,kashekya,kashaka,lukurungo,nyakibimbili,bunazi,kyetema, bugabo, kamachumu, kemondo, kyamulaile, katoro, au unasema Bukoba vijijini wapi?
 
Hebu ongelea maeneo kama maruku, kibeta, itahwa, kabale,ishozi, katoma,kabogo,bwatangabo,katake,mugana,kashekya,kashaka,lukurungo,nyakibimbili,bunazi,kyetema, bugabo, kamachumu, kemondo, kyamulaile, katoro, au unasema Bukoba vijijini wapi?
hayo maeneo uliotaj hapo ndio kidg yna unafuu lkn mostly kagera IPO duni sana
kyerwa,karwgwe ngara kule n balaa
kule Kilimanjaro nyumba ya kuishi mifugo n nzuri kuliko ya mwwnchi w kagera
kilmnjar hkn nyumba ya nyasi hata moja
n kawaida kukuta migorofa vijiin kwenye kahawa
kitakwimu Kilimanjaro n mkoa wa pili kwa maisha bora na makaz bora wqkati kagera n mkoa wa tatu kwa umaskin can you see the differences
 
Koma kwa Tabora.....
 
Wahaya ndio tabia zao kujisifia,kila muhaya anajisifia baba ake na mama ake wanafanya kazi TRA BANK,au weight bridge
 
Ni Kweli lipo kati kati porini hakuna nyumba wala nini na mazizi unakuta ng'ombe wanatoka chungwa wanaletwa zizini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakika huyu jamaa ameng'oa mzizi wa fitina nadhani ameeleza kinaga ubaga, hakika huu ndo ukweli japo wengi hawataki kusikia wala kuamini. Hongera
 
Wahaya kwa sifa hawamfikii hata duli sykes
 
Walau umesema ukweli
 


Mtu mzima mwenye akili timamu hawezi kula tunda (ndizi) na kufanya ndo chakula, umekuwa nyani? Ugali ni chakula halisi si cha mtanzania tu bali 80% ya waafrika wanakula na kupenda ugali. Muhaya anakula tunda na maharage au akiona kachanganikiwa atakula tunda na samaki sato. Kwa kifupi, Wahaya hawajuwi kupika....mapishi yao ni mchemsho tu wa maharage na tunda la ndizi ama tunda la ndizi na samaki tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…