Historia ya Kabila la Wahaya

Historia ya Kabila la Wahaya

Walikufanya nn wahaya mbona unawachukia hivyo mpaka koo linatoka kila post unaquotor ww tu utafikir muanzisha tread
Hanawachukia wahaya kwa sababu kwa Mh. Magufuri ilikuwa Kagera kabla aijagawa kuwa mkoa, sasa baada kuichukia serikali anaichukia wahaya
 
Wahaya gani unawazungumzia mimi uzuli nimekaa sana wahaya

Nipo nao hapa manzese darajani yaani wengi wao wananiambia wanajuta kuzaliwa bukoba kwa sababu kuna hali ngumu ya maisha ndio maana wengiiii wanaona bora waje mjini kupiga biashara ya ngono.

Biashara ambayo wanapanga nyumba nzima wanaigawa katika vyumba huku wakiuzaaa papuchii elfu 2 baoo mojaa pamoja na chumba na pia hata baadhi wanaume wanatoa kwa bei cheeee.

Kama kuna mtu anabisha ajee manzese darajani au aende mwananyamala hospitali au buguruni sokoni au temeke hospitaliii .
Manzese darajani ilo chimbo silijui mkuu au unasemea uwanja wa fisi
 
Hanawachukia wahaya kwa sababu kwa Mh. Magufuri ilikuwa Kagera kabla aijagawa kuwa mkoa, sasa baada kuichukia serikali anaichukia wahaya
mkuu mm wala sina interest na kanda yenu mm kanda yangu n kaskazn,ninachofanya n kuwapa ukweli mchungu ili mjitambue muache mbwembwe mjenge mkoa wenua ambao n wa tatu kwa umaskin
cna chuki na mtu
 
Kuna wahay hapa jirani zangu wadada hapa tip top kwa chini mtaa kwa mzee funika wanajuta kuzaliwa uhayani maana wanasema sijui ni laana au vp wanauza k
 
Bora uwaeleze wao wanachojua ubishi wa kichama chama hata takwimu hawajui, wanafikiri kuona nyumba ndio kuwa tajiri wakati mwingine wanaishi kwa mashindano ndio Maana mwisho wa siku ni nguvu za ushirikina sana. Wachaga wamekimbia Kilimanjaro kwa sababu hakuna mzunguko mzuri wa Pesa na kingine ushirikina Mkubwa wa wachaga, na ndio Maana mlima Kilimanjaro ulikuwa pale kwa ajiri ya kwenda kutambika na ndio Maana ule mlima haumtajirishi mchaga na wanashindwa hata kujitangaza kwamba wana mlima Kilimanjaro,
hahaha hujui usemacho ndugu
wachaga wanakimbia kwao? nenda kule uone investings zoote 99% n za wenyeji wametumia fursa vizuri pia kila mkoa wapo wamewekeza means wanatumia fursa popote
Kilimanjaro fursa zote wao wamezibana kila sekta ndio maana mkoa n wa pili kwa maisha bora,muuza supu Kilimanjaro anamiliki mjengo wa maana na usafiri kutokana na mzunguko wa biashara kuwa mkubwa
pia 90% ya makax ya wana kilmnjaro n bora na ya kisasa hakuna nyumba ya nyasi kule,sasa unapisema wamekimbia kwao sikuelew,nyie wahaya ndio mnakimbia kwenu kisa ushirikina mchaga yy n elimu na hela
kagera imechakaa kwasababu wenyeji wameikimbia
hakuna kabila linalothamin nyumbsn kama wachaga ndio maana wamejenga migorofa vijiin huko
nyumba ya kulala mifugo Kilimanjaro n nxuri kuliko ya mkaz wa muleba
itawachukua miaka 500kuifikia klm
 
mkuu bukoba naifahamu yote
imechakaa lami imechubuka,stand n kichekesho hakuna hotel ya maana hata moja zaidi ya vi lodge vyenye makaratas kwenye magodoro,bukoba vijin nyumba za nyasi nyingi mno,misenyi,karagwe ndo kabisaaa,bukoba miundombnu IPO duni mfano muleba,kwakweli n sahihi KBS mkoa wenu kuww wa tatu kwa umaskini
Hebu ongelea maeneo kama maruku, kibeta, itahwa, kabale,ishozi, katoma,kabogo,bwatangabo,katake,mugana,kashekya,kashaka,lukurungo,nyakibimbili,bunazi,kyetema, bugabo, kamachumu, kemondo, kyamulaile, katoro, au unasema Bukoba vijijini wapi?
 
Hebu ongelea maeneo kama maruku, kibeta, itahwa, kabale,ishozi, katoma,kabogo,bwatangabo,katake,mugana,kashekya,kashaka,lukurungo,nyakibimbili,bunazi,kyetema, bugabo, kamachumu, kemondo, kyamulaile, katoro, au unasema Bukoba vijijini wapi?
hayo maeneo uliotaj hapo ndio kidg yna unafuu lkn mostly kagera IPO duni sana
kyerwa,karwgwe ngara kule n balaa
kule Kilimanjaro nyumba ya kuishi mifugo n nzuri kuliko ya mwwnchi w kagera
kilmnjar hkn nyumba ya nyasi hata moja
n kawaida kukuta migorofa vijiin kwenye kahawa
kitakwimu Kilimanjaro n mkoa wa pili kwa maisha bora na makaz bora wqkati kagera n mkoa wa tatu kwa umaskin can you see the differences
 
Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .

Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.

Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.
Koma kwa Tabora.....
 
Wahaya ndio tabia zao kujisifia,kila muhaya anajisifia baba ake na mama ake wanafanya kazi TRA BANK,au weight bridge
 
Ni Kweli lipo kati kati porini hakuna nyumba wala nini na mazizi unakuta ng'ombe wanatoka chungwa wanaletwa zizini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii imemaliza kila kitu,hongera sana kwa coment nzuri,sema wosia wangu kwa wahaya, mnapondwa sana kutokana na sifa nyingi lakini nyumbani kwenu hakuna kitu.
Yan ukilinganisha maisha ya sifa mjini na maisha halisi ni tofauti ndo mana mnaonekana mizinguo, tofauti na watu wa sehemu zingine tz
Hakika huyu jamaa ameng'oa mzizi wa fitina nadhani ameeleza kinaga ubaga, hakika huu ndo ukweli japo wengi hawataki kusikia wala kuamini. Hongera
 
Wahaya kwa sifa hawamfikii hata duli sykes
 
Daladala Zipo,,, Angalia upande zilipo gari zilizoangaliana Na jengo la airtel,pembeni kuna jengo la TTCL Zipo Za kwenda rwamishenye, custom n. K kinachofanya Usione Daladala nyingi ni kwa kuwa root nyingi zinaungwa Na magari yaendayo ndani mfano naenda katoma lazima ntapanda gari Za kanyigo/kyaka/mutukula/karagwe/kashasha/bwanja/mgana/gera/ruzinga/buyango n.k pia kama naenda muutwe ntapanda Za muleba /katoro/biharamulo
Ujue mfumo wa usafiri wa bukoba mjini Sio Sawa Na mikoa mingine,,,, kuhusu stand: kumekuwepo na mgogoro mrefu juu ya uboreshwaji wa stand kwa muda mrefu tangu 2010 but Mpk now stand iko inajengwa kyakairabwa
Walau umesema ukweli
 
Kiukwel kwa watu waliowai kujaliwa kufika Bukoba .

Hapa nazungumzia maeneo ya vijijin kama bukoba vijijin yaani watu wa kule wanaishi maisha mazuri sana ukilinganisha na mikoa mingine ...yaani uwez kukuta muhaya anakula ugali na maharage au ananyumba ya nyasi...au analima huku mvua inanyesha.

Lakin ukienda mikoa mingine kwa maeneo ya vijijin kama Singida, Tabora ,Dodoma ,Morogoro , Nk
Isee ni hatar sana watu wanamaisha magumu sana.


Mtu mzima mwenye akili timamu hawezi kula tunda (ndizi) na kufanya ndo chakula, umekuwa nyani? Ugali ni chakula halisi si cha mtanzania tu bali 80% ya waafrika wanakula na kupenda ugali. Muhaya anakula tunda na maharage au akiona kachanganikiwa atakula tunda na samaki sato. Kwa kifupi, Wahaya hawajuwi kupika....mapishi yao ni mchemsho tu wa maharage na tunda la ndizi ama tunda la ndizi na samaki tu.
 
Back
Top Bottom