Historia ya Kabila la Wahaya

Mtoa uzi pamoja na members wote
1. Umaskin haupimwi kwa kula ugali au nyumba za nyasi.Nadhani kama tukipima umaskin kwa vigezo hivyo tutakuwa tumekosea mno.Nadhani vipo vigezo vya kupima kiwango cha umaskin kuanzia mtu mmoja mmoja na Taifa
2.Jana 27/04/2018 nilikuwa naangalia TBC1 taarifa ya habari wakulima wa Kahawa Kagera kwenye wilaya moja hivi nimesahau kuna wananchi walikuwa wanauza kahawa kwa magendo na DC akamkamata mwenyekiti wa kitongoji kuhusiana na kujihusisha kwake na magendo hayoya kuuza kahawa kiholela tena kahawa mbichi.
3.Suala la maendeleo haliangalii kabila la mtu ni jitihada za mtu mwenyewe na jamii husika inavyohanikiza maendeleo.Hata mimi kwetu kuna maendeleo lakin siwez kuja hapa JF na kuanza kujisifia jamii yetu bora kuliko zingine.

Wandugu ifike wakati zile habari za matambo yasiyo na msingi tukaacha maana hazina msaada sana kwa sasa ni bora tupeane fursa za kujikwamua na umaskini kuliko kujisifia sijui mimi Muhaya bright ,sijui mimi Msambaa tajiri haitusaidii
 
true
 
Sasa mkuu wanauziaje papuchi kwenye hospitali? au sijaelewa!!
Hiyoo sehemu ipo karibia na hospitali ukishukaaa mwananyamala hospitali na basi utaonaaa kuna nyumba kuna wakina dada wamekaaa kwenye visturi basi wee ukifika ingia ndaniiiiiii.

Ukiingia ndani utampa elfu mbili kinachoendeleaaa utakuwa unajuaa ila ukiwa mgeni mgeni utapigwaa hadi elfu tanooo
 
kwahiyo wapo idadi kadhaa unachagua aliyenona kwa vidonge eti?
 
Mleta uzi hili hawezi kuja lijibu,akijib nitag
 
mkuu pale bukoba mjin n kichekesho,stand kuu yao imejaa mashimo matupu na vumbi,hauna hotel ya maana,pia mji hauna daladala bodaboda ndio daladala zao sasa hii misifa yao vjui nn
pia kwa mujibu wa takwimu kagera n mkoa wa tatu kwa umaskin
 
hiyo bukoba siwezi ifananisha hata na jamii ya wafugaji wanaohamahama,wahaya wanamaisha magumu Sana sema Mungu hakunyimi vyote amewabariki kujisifu na kujitamba ndo kichaka chao
 
Sokota Mkuu kuna chocho moja wamejaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…