Historia ya Kabila la Wahaya

Historia ya Kabila la Wahaya

Halafu kitu kingine wahaya ninachowashangaa wanapenda sana kusema wanatokea bukoba badala ya kusema wanatokea kagera sijui kwanini hawapendi kulitaja hili neno kagera wao wanang'ang'ania sisi kwetu bukoba.

Kitu kibaya zaidi ukiwambia wakupeleke kwao bukoba unashangaa wengi wanashukia muleba wanaingia vijijini uko mpka unafika bukoba mjini mnajikuta waliobakia wengi ni wamanyema watu tokea congo ndio wenye bukoba yao ila cha kushangaza wahaya walivyo wa ajabu hawezi kukuambia anatokea muleba yeye atakwambia kwao ni bukoba na wanasema hivyo kwa sababu muleba hakuna maendeleooooooo
Kagera ni jina la mto na Bukoba ni jina la sehamu / ardhi husika tangu Enzi za mababu zetu. Ardhi yetu kuitwa Kagera ni mambo ya ugovi wa Nyerere na Iddi Amini pamoja na kuigana vita miaka ya 1978 & 1979.
 
ukitaka kujua wahaya vyema
nenda pale bkb mjini hakuna daladala kule n boda boda ndio daladala,stand kuu n kichekesho imejaa mashimo hakuna hotel ya maana full vumbi sasa hapo n mjin je kijijin itakuaje?
Karibu Kiziba anzia Gera, Mugana hadi Kanyigo na Ishozi na Luzinga pia. Mji siyo interest ya wahaya bali vijijini kwao.
 
Pale jirani na temeke hosp wapo,wamepanga vyumba wanafanya biashara ya ngono.
Wana akili wanafanya biashara ya ngono wanasomesha watoto,ukishangaa biashara ya ngono utakua ni mshamba wa kutupwa kwahiyo wanaonunua ngono ni wahaya tu au na makabila mengine yananunua?Jaribu kutembea ukienda nchi za wenzetu biashara hii ni halali na wanalipa kodi sasa ww umekomaa wakat wateja ni kila kabila.
 
mnazidi kuonyesha mlivozidiwa hoja
rudin bukoba mjenge kwenu muwe. kama moshi
Bila Muhaya kusingekuwepo na Jamii Forum.
Leo na nyinyi tengezeni Jamii Forum ya kizaramo. Unakuta MTU katoka Kigoma Ujiji lakini anaponda Kagera, mwingine tokea ahamie mjini na mashamba kauza kijijini kwake, ni shida tupu. Lakini unamkuta muda wote yupo Jamii Forum kuwatukana ambao ndio wamempa dhamana ya kuongea
 
wahay n mbwembwe tu kagera mkoa wao n wa tatu kwa umaskin
nyumba za nyasi kibao
mkoa wa Kilimanjaro hauna nyumba za nyasi KBS,pia kielimu Kilimanjaro IPO juu n miongon mwa mikoa ya kwnza elimu kufika ndio maana kila idara huwez kosa MTU wa Kilimanjaro tz nzima wapo kama sio msomi basi mfanyabiashara ndio mwana kwa mujibu wa takwimu mkoa wa kilimanja n mkoa wa pili kwa maisha bora na makaz bora,Kilimanjaro n kawaida mifugo kulala nyumba ya block yenye umeme
Uyu kweli kalewa matango poli yan umlinganishe mchaga kielimu na Muhaya!Hata wajaruo na Wanyakyusa bado wamewazid kumbe unadhan kuwa na mashule mengi ndo kuwa msomi hata ukifanya research ya wasomi walioko maofsin na wenye kuongoza idarambalimbali kweli mtafikia hata nusu ya Wahaya! Kidogo ungesema mnaongoza kwa biashara na biashara mnayoongoza ni ya kutumia miguvu na kutoa ndugu zenu kafara,lakin ukija kwenye biashara kubwa kubwa na ya kutumia akili bado hamjawafikia Wahaya fanya utafti kati ya Wachaga na Wahaya kabila gani linaongoza kumiliki mashule,hospital ,makampuni mbalimbali na vyuo,ukimaliza nipe mlejesho.Unasema wakoloni walileta Kilimanjaro elimu mapema hata historia ujui!Ujui mkoloni kati ya Kilimanjaro ,Mikoa ya Kusini na Kagera wapi alianzia! Mnaongoza kuwa na Mashule mengi lakin ni sawa na usemi usemao penye miti hapana wajenzi maana watoto wenu badala ya kwenda shule wanakimbilia stand kutembeza maji wakat Mhaya yuko tayar auze shamba lakini mtoto aende shule.
 
Wahaya gani unawazungumzia mimi uzuli nimekaa sana wahaya

Nipo nao hapa manzese darajani yaani wengi wao wananiambia wanajuta kuzaliwa bukoba kwa sababu kuna hali ngumu ya maisha ndio maana wengiiii wanaona bora waje mjini kupiga biashara ya ngono.

Biashara ambayo wanapanga nyumba nzima wanaigawa katika vyumba huku wakiuzaaa papuchii elfu 2 baoo mojaa pamoja na chumba na pia hata baadhi wanaume wanatoa kwa bei cheeee.

Kama kuna mtu anabisha ajee manzese darajani au aende mwananyamala hospitali au buguruni sokoni au temeke hospitaliii .
Ongezea kigamboni
 
Aaaaah ! Mkuu hebu muogope Mungu , mimi ni mhaya na nyumbani kwa Babu yangu ni bukoba vijijini , jina la kijiji nimelihifadhi , kwenye hicho kijiji hakuna barabara , huduma ya maji watu wanachota kwenye chemchemi , umeme , huduma ya afya na shule ni majanga na watu ni walevi wa pombe za kienyeji na ni masikini wa kutupwa , nyumba ni za hovyo , nyingi ni mabanda ya nyasi na tope chache sana ndo unakuta mtu kajenga mjengo wa maana , it is simply a ghost town to put it into perspective , hebu niambie ni kijiji gani hicho ulichotembelea ukakuta hakuna nyumba ya nyasi..........Tatizo la wahaya ni dharau na nyodo unakuta mtu anakaa kwenye banda la mbuzi halafu anashupaza shingo , kiufupi I'm not proud of my ethnicity as a Haya
Mwisho wa yote, mpe madaraka duuu! Hata kama anajua hajui, atangangania. Mf. Kiwanda ni kuanzia cherehani 3.!
 
Mtani, owomkyalo, umelikoroga sasa huna budi kulinywa. Ama kweli "Nshomile mpaka mbwa yasheka"
 
elimu gan mnaongoza? labda ya kula senene
1_mkoa wa Kilimanjaro n mkoa wa kwanza tz kuwa na secondary nyingi (314) ikifuatiwa na dar 299
2_Kilimanjaro n mkoa wa pili kwa makaz bora na maisha bora kwa mujibu wa wizara ya fedha(kule n kawaida mbuz na ngombe kulala kwenye nyumba ya block yenye umeme)
3_KLM n mkoa uliojitosheleza miundombnu karibu yote(zahanat za kutosha,shule,madawati,barabara za lami had I uchochoroni,maji safi 98% no
4_hakuna nyumba za nyasi Kilimanjaro tangu 1980
4umeme umeingia Kilimanjaro 1980's
kama unajidanganya wahaya mpo juu poleni kagera IPO nyuma idara zote
Si kweli kwamba umeme umeingia Kilimanjaro miaka ya 1980. Naomba urekebishe hili.
 
Si kweli kwamba umeme umeingia Kilimanjaro miaka ya 1980. Naomba urekebishe hili.
Nina uhakika na nisemacho
Kilimanjaro hususan mwanga umeme tangu 80's
mm wilaya yangu rombo kijiji changu umeme umefika 1990
lami kila wilaya IPO shule,zahanati,hospital za kutosha,makaz ya kisasa 90% ya wakaz wote wa Kilimanjaro wanaishi makaz bora
 
Bila Muhaya kusingekuwepo na Jamii Forum.
Leo na nyinyi tengezeni Jamii Forum ya kizaramo. Unakuta MTU katoka Kigoma Ujiji lakini anaponda Kagera, mwingine tokea ahamie mjini na mashamba kauza kijijini kwake, ni shida tupu. Lakini unamkuta muda wote yupo Jamii Forum kuwatukana ambao ndio wamempa dhamana ya kuongea
mm sii mzaramo mm n mchaga
jamii forum founders wake n melo mhaya na Mushi mchaga
huwez jificha ktk chaka LA maharage kagera imedidimia kiuchumi kaifufuen achen mbwembwe za kijinga wakat mkoa wenu n wa tatu kwa umaskin
 
Yaani Bukoba wako vizuri kuliko wakaz wa Jiji la Dodoma [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kama unasema umasikini unapimwa kwa kuwa na nyumba unawazungumziaje wahindi wenye Pesa nyingi wanakaa nyumba za kupanga
kwa wahindi hakuna majumba?
heshima ya MTU n nyumba mhindi yy n hamahama ndio maana hajengi
kagera vijumba vya nyas hadi aibu
 
Kujenga Dar es salaam, Mwanza na Arusha
naona umelewa rubisi
dar wahaya wachache sana labda wachaga maana December wachaga wakienda kwao mji wa dar huwa unapoa KBS hata biashara zinaathirika hadi daladala znaruhusiwa kusafrsha abiria moshi maana mabas yooote hayatoshi
2_mwanza mhaya moja moja mchaga kaishika mwanza mihotel yote ya kifahar %,kubw ya wachaga mfano gold crest yenye hadhi ya nyota 5 pmj na migorofa ming pale mwanza inamilikiwa na wachg
3_arusha haukn mhaya uchumi wa arusha 99% umeshikwa na mchaga mahotel yote makubwa yao naura spring,ngurdoto,leopards, nk hadi viongoz wa kisiasa kama mbunge na madiwan
mbwembw zenu zinawa cost kagera inaxd kudidimia
 
Back
Top Bottom