Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
mtutafsiriepo na sisi wengine waliooa ukuryani wajifunzeNamaiya muraa. Hai olenge khana mura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtutafsiriepo na sisi wengine waliooa ukuryani wajifunzeNamaiya muraa. Hai olenge khana mura?
Inatokea mtu anarithishwa jina tu kuna mambo mengi hapoKwa hio Ghati Mwanaume inakuaje[emoji23]
Kuna mtu mmoja anaitwa Chacha, ye anakwambia sio mkurya, ni msimbiti..ukimuuliza mbna jina chacha ni la kikurya, anakwambia ni jina tu alipewa halihusian na kabila lake... Nikashangaa..Wakurya ni muunganiko wa vikabila vidogovidogo visivyopungua 20, hivyo unaweza ukakutana na mkurya wa kikabila kidogo Cha wangoreme au wasimbiti ukajua sio wakurya kumbe ni wakurya tena pure. Mimi ni mkurya hivyo hivi vikabila vidogovidogo ndo vinaunda kabila kuu moja (wakurya) usipokuwa makini utadanganywa.
Wasimbiti hawana katika matamshi yao hawana 'Cha' wana Sha kwa hiyo jina la Chacha wao wanaita ShashaKuna mtu mmoja anaitwa Chacha, ye anakwambia sio mkurya, ni msimbiti..ukimuuliza mbna jina chacha ni la kikurya, anakwambia ni jina tu alipewa halihusian na kabila lake... Nikashangaa..
Bhoke mwita nyamuhanga nayo wanatamkaje kisimbiti tunaomba ufafanuzi ili tuelewe vizuriWasimbiti hawana katika matamshi yao hawana 'Cha' wana Sha kwa hiyo jina la Chacha wao wanaita Shasha
Nyambura huyu anaemlinda Hangaya au yupi?Nyambura wangu jmn katot kale anajuwa kulamba koni vibaya mno
Amaiya mura weithoAmang'ana Tata.
Braza wasikulishe matango pori, hao wasimbiti niKuna mtu mmoja anaitwa Chacha, ye anakwambia sio mkurya, ni msimbiti..ukimuuliza mbna jina chacha ni la kikurya, anakwambia ni jina tu alipewa halihusian na kabila lake... Nikashangaa..
Wasikulishe matango pori kaka hao wasimbiti ni wakurya pure. Vifwatavyo ni baadhi ya vikabila ndani ya kabila la wakurya.Kuna mtu mmoja anaitwa Chacha, ye anakwambia sio mkurya, ni msimbiti..ukimuuliza mbna jina chacha ni la kikurya, anakwambia ni jina tu alipewa halihusian na kabila lake... Nikashangaa..
Hapa sasa inaleta sense.. ni koo mbalimbali zinazounda kabila moja kubwa.[emoji106]Braza wasikulishe matango pori, hao wasimbiti ni
Wasikulishe matango pori kaka hao wasimbiti ni wakurya pure. Vifwatavyo ni baadhi ya vikabila ndani ya kabila la wakurya.
1 Wairegi.
2 Wasimbiti.
3 wanyabasi.
4 wanyamongo.
5 wasweta.
6 warenchoka.
7 waikoma.
8 wanchari.
9 watimbaru.
10 wamera.
11 wakeroba.
12 wakenye.
13 Wakiira.
Hapo nimetaja baadhi tu.
Nyambura huyu anaemlinda Hangaya au yupi?
Itiryo unapajua?? Hilo jina la bugucha ni mojawapo ya kijiji jirani na hukoAmaiya mura weitho
Wasimbiti ni Koo za kurya zizotokea Kyagata kupitia Nyanchabhakenye mpaka tarafa ya Suba walipoweka makazi ni jamaa ya waswetaHapa sasa inaleta sense.. ni koo mbalimbali zinazounda kabila moja kubwa.[emoji106]