Historia ya Komandoo Tarimo

Hahaah mkuu mshua wako ni shujaa ila hamfikii baba yangu ni Legend zaidi
 
Mkuu unataka vita na JIWE wewe? Kuandika history ya watu wa ile kanda hakutompendeza
 
Nenda Rombo Mtaa wa Mamsera utamkuta shangazi yake Ruth L.Tarimo atakueleza
 

Unamzungumzia kapteni Mohamed Tamim mzaliwa wa Tanga.

Tarimo alikuwa ni mmoja wa mawakili wa utetezi pamoja na mawakili Jadeja, Hussein Mucadam na Murtaza Lakha.

Mawakili wa serikali walikuwa wakiongozwa na wakili William Sekule na Johnson Mwanyika.

Kesi ilikuwa ikisikilizwa mahakama kuu barabara ya kivukoni (ya enzi hizo) chini ya jaji kiongozi Nasoro Mzavas.

Jaji Mzavas alitoa hukumu mwezi Decemba tarehe 28 mwaka 1985 ambapo washitakiwa wote walopatikana na hatia walifungwa maisha.

Jumla ya washtakiwa wote walikuwa ni 19 na baadhi yao ni Pius Lugangira au "Unlce Tom" au "Uncle checkbob", Khatibu Hassan Ghandi au Hatty Mac-Ghee, Kapteni Mohamed Tamimu ambae aliuawa wakati wa kukamatwa, Kapteni Damas Mbogoro, Kapteni Chris Kadege, Kapteni Badru Rwechungura Kajaja, Na Kapteni Vitalis Mapunda.

Wengine ni Kapteni Christopher Ngaiza, Kapteni Zacharia Hans Pope, Kapteni Rodrick Rosham Robert, Kapteni Suleiman Kamando na wengine wengi tu akiwemo huyo Eugene Maganga.

Bwana George Banyikwa na mkewe Zera Banyikwa ambao baadhi ya vikao vya kupanga uhaini vilikuwa vikifanyika nyumbani kwao Sinza, waliachiwa huru.

Halafu kuna mwasia mmoja maeneo ya Keko nae alijumuishwa kwenye kesi lakini baadae akaachiwa.

Iia Huyu Christopher Ngaiza alikuwa ni msaidizi wa raisi Nyerere akimsaidia kwenye ule mradi wa Bonde la Kagera.

Hivyo kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba unamzungumzia Kapteni Mohamed Tamim.
 
Mimi namkumbuka komando halisi TAMIM!! Wangapi mnamkumbuka huyu na alifanya nini? Hint: Unamkumbuka uncle Tom? Haya vijana somo la historia ya nchi yenu, waulizeni wazee wenu waliohai!!
hawa ndio wanajulikana Tamimu alitaka kupindua nchi
 
Mzee baba primary tu umeshanza kufuatilia stori za makomandoo?
 
Kuna Challenges Za Mimi Kuzikubali Na Kujifunza Ila Siyo Kama Hizi Za Ki POPOMA Na Zilizotolewa Na POPOMA. Jitahidi Umrekebishe Nduguyo!
Ujuaji mwingi mbele kiza. Acha ujuaji dogo Gentamycine.

Huwezi jua kila kitu hapa duniani.

Ynyokooooo
 
Muulize unataka uyataje kwa uyakinifu kwani wewe unatokea kimironko......watusi wana matatizo saana achana nao
 

Nini mchango wake kwa Taifa??
 
Risasi.........mwanaume kikwete alifika mpakan akampa masaa 12 tena akamwambia hata hangaika barrack moja tuu ya ngara inamtosha......mbona PK alipakatwa na mkewe kule nyamirambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…