Mshamba huyo jamaa anajitahidi kujifanya wa mjini ila ukimsoma unajua kabisa odometer yake ina km chache downtownHahaha, huyu jamaa bana anapenda kuonekana mjuzi
Hahaah mkuu mshua wako ni shujaa ila hamfikii baba yangu ni Legend zaidiMimi baba yangu tu ndo alikuwa komando. Nakumbuka tuko shambani tunalima, mara mbweha wawili wakatokea na kuanza kuvuruta kikapu cha msosi, kilikuwa mbali kidogo chini ya mti, ile anataka kwenda pale kuwatimua, likatokea li nguruwe pori sijui limekimbizwa na mkulima mwingine huko...mimi nikawa katikati sijui kinachoendelea, nimetaharuki tu....aisee yule nguruwe alirushiwa jembe moja hatari likakata uso, ile nageuka nione nani karusha...namuona dingi anamsulubu mbweha kwa jiwe moja hatari...ilikuwa ni shidaa!!
Ni Marando mkuu.mkuu ni nani huyo? Muweke wazi basi.
Nasikia ni MABE, ,,MARA,, ndy aliyomdungua,,nadhani aliyemuua ni afisa usalama wa taifa ambae sasa hv ni mwanasheria na mwanasiasa maarufu...
Mabe.....maran. Ndy aliyemdunguamkuu ni nani huyo? Muweke wazi basi.
Comments yako inaishi nadhan muda unakaribiaDuh,sikuwahi kuyajua haya kwa kweli. Inanilazimisha kuamini some day at some time this will come to happen again.
Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
hawa ndio wanajulikana Tamimu alitaka kupindua nchiMimi namkumbuka komando halisi TAMIM!! Wangapi mnamkumbuka huyu na alifanya nini? Hint: Unamkumbuka uncle Tom? Haya vijana somo la historia ya nchi yenu, waulizeni wazee wenu waliohai!!
Uzi Nlikuwa Nausoma Kwa Makini,ila Hii Comment Yako Nimecheka Sanawe kenge tu intarahamwe pua kama chapati
Ana zingua huyu huu utoto sasa alio leta.Uzi Nlikuwa Nausoma Kwa Makini,ila Hii Comment Yako Nimecheka Sana
Mzee baba primary tu umeshanza kufuatilia stori za makomandoo?...Ndinani, umenikumbusha mbaaali sana, miaka ya 1983 au 1984 nikiwa shule ya msingi. Nilikua nafuatilia story za hawa jamaa waliokuja kujulikana sana baadae katika 'Kesi ya Uhaini'. Moja ya story ya Captain TAMIM ya kusisimua ni ile katika kukimbia asikamatwe na askari kanzu akaona lorry/gari ya wazi nyuma ikiwa imebeba crate kibao za bia akarukia na kudandia gari lile akaanza kuwavurumishia chupa za bia askari waliokuwa wanamfukuza ili wamkamate..., it is so sad kuwa ultimately akapigwa risasi na kuuwawa!
Two weeks ago nilienda Bukoba, pale airport nilikutana na mwenzao katika kesi ile, kama sijakosea anaitwa Captain Roberts. Wameshakuwa aged sasa hawa watu, unfortunately alikuwa kalewa sana. Angekua katika akili ya kawaida nilitamani kuongea nae nijue wakati huo walikusudia kuifanyia nini nchi zaidi ya kile tulichokuwa tunafanyiwa na viongozi wetu wakati ule...
Ujuaji mwingi mbele kiza. Acha ujuaji dogo Gentamycine.Kuna Challenges Za Mimi Kuzikubali Na Kujifunza Ila Siyo Kama Hizi Za Ki POPOMA Na Zilizotolewa Na POPOMA. Jitahidi Umrekebishe Nduguyo!
Muulize unataka uyataje kwa uyakinifu kwani wewe unatokea kimironko......watusi wana matatizo saana achana naoHuna Uwezo Wa Kumfundisha Kagame Wewe Na Acha Kutaka Kupata KIKI Humu Kwa Kujifanya Wewe Ndiyo Mjeda Wa Uhakika TPDF..........au Wewe Ndiyo Yule Mr. Misifa Mwakibolwa? Halafu Ulivyo POPOMA Hata Tu Majina Yao Umekosea Kuyataja Na Huyajui Pia. Angalia Sasa Unavyoumbuka Humu Na Watu TUNAKUSANIFU Tu Na KUKUCHEKA! Kwa Kukusaidia Tu Rwanda Hatuna Mtu Aitwae Fred Rwigema Wala Patrick Karejea Bali Tuna Watu Waitwao Fredrick Rwigyema Na Patrick Karegeya. Siku Nyingine Ukija Humu Jamvini Ujikamilishe Vizuri Vinginevyo Utakuwa UNAJICHORESHA Tu Kwa Akina GENTAMYCINE.
Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
Risasi.........mwanaume kikwete alifika mpakan akampa masaa 12 tena akamwambia hata hangaika barrack moja tuu ya ngara inamtosha......mbona PK alipakatwa na mkewe kule nyamiramboKumbe wanyarwanda mmejaa humu mnaanza kubaguana na kuitana wanyamahanga, mnataka kuleta vita vyenu vya kijinga hapa kwetu wakati nyie ni maboya tu. Eti komando Kagame.. Komando my foot! Halaf mnajifanyaga ni watu wa hadhi ya juu kuliko watu wengine wakati nyie ni mandezi tu. Mbona hamkumwambia mjomba wenu Kagame arushe hata risasi moja mpakani tumfunze adabu? Mmmmmxxxiiuu...