Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo tarimo si anachoma nyama pale uwanja wa fisi huku akiijiita komando joni??
Thread yako haijatosheleza tueleze baada ya kupata mafunzo Cuba aliifanyia nini nchi yake hadi atambuliwe na jf maana kama ni makomandoo tunao wengi waliosoma CUBA, ISRAEL, URUSI, MAREKANI NA kwingineko Duniani kuna nini special juu ya huyu Tarimo wako? Kama hakuna nenda kwao watakupa kila kitu.
kwa wanaopenda walau kupata taarifa kwa ufupi ya nini kilichotokea gonga hapa
Mwafrika: Jan 9, 1982. A coup that never was. And its aftermath
kwa wanaopenda walau kupata taarifa kwa ufupi ya nini kilichotokea gonga hapa
Mwafrika: Jan 9, 1982. A coup that never was. And its aftermath
nadhani aliyemuua ni afisa usalama wa taifa ambae sasa hv ni mwanasheria na mwanasiasa maarufu...
Katika CDMnadhani aliyemuua ni afisa usalama wa taifa ambae sasa hv ni mwanasheria na mwanasiasa maarufu...
aliyeuawa nni Tamimu pale pande za Mkwajuni kinondoni Uncle Tom au Pius Lugangira alitoroka ukonga au keko na akapelekea Wazir mambo ya ndani muda ule Brigedia Natepe kujiuzulu. Lugangira almefia UKUncle Tom alipigwa risasi na kuuawa siku moja kabla ya siku ambayo yangefanyika mapinduzi ya serikali ya Tanganyika.
Baada ya maiti yake kupekuliwa alikutwa na karatasi yenye majina ya viongozi mbalimbali wa jeshi pamoja na mawasiliano yao jambo ambalo liliwatia mashaka wana Usalama maana uncle Tom alikuwa most wanted na ilikuwa ishatolewa amri ya kukamatwa au kuuawa pale atakapoonekana ndani ya Tanganyika.
Ndipo ukaanza msako wa kukamata kila aliyeonekana kwenye ile karatasi na mpango mzima wa mapinduzi kuwa wazi....
nadhani aliyemuua ni afisa usalama wa taifa ambae sasa hv ni mwanasheria na mwanasiasa maarufu...
ni yule mweusi mwanasheria sasa hivi?nadhani aliyemuua ni afisa usalama wa taifa ambae sasa hv ni mwanasheria na mwanasiasa maarufu...
ni yule mweusi mwanasheria sasa hivi?