wakiwa katika kambi ya wakimbizi wa kitusi maeneo uganda magaribi paulo kagabo kagame wamesoma,kucheza na kukua pamoja fred rwigema huyohuyo fred ndie alimpeleka kagame kumtambulisha kwa kaguta ili waende mafunzoni tz pamoja, wakati wa harakati za ukombozi kupitia rpf general fred rwegema ndio alipewa dhamana ya kuongoza mapambano na baraza la wazee wa rpf kipindi hicho paul kagame alikua marekan mafunzon huko langley wanapaita the farm, rwegema aliuawawa na akina kanali bayingana baada ya kuingia rwanda alisalitiiwa kwa uchu wa madaraka, salim salehe aka the fire alitumwa kumuua bayingana huku museven akiwaomba cia wamruhu paul arudi haraka kuongoza mapambano alipitia mpaka. wa kajitumba wakati kayumba nyamwasa,,theogene.rudasingwa na patrick karejea walipitia gatuna acha kuudanganya umma huna dam ya kinyarwanda lazima ungemjua shujaa fred rwigema hakuna mnyarwanda zuzu kama ww, ni wajomba zangu wa dam, nawajua zaidi ya wowe umusazi urantsinzi ijituba cya nyoko wowe umunyamahanga