ese tipo.es muy mentiroso se habla mierda no sabe nada su puta madre
Anyway Basi Tufanye Wote Hao Siyo Makomandoo Bali Komandoo Ni Paul Kagame Peke Yake. Je Na Huyu Nae Utasemaje? Twende Sawa.
bwana mdogo unarukaruka kama unataka kutaga kuna vitu hujui kubali uelimishwe, umehamia kwa kagame huyo paulo kagabo kagame, fred rwigema, kaguta museven, patrick karejea woote wameandalia na kufundishwa na sisi kwenye ardhi hii we mjinga utaishia kubwabwaja usoyajua
Huna Uwezo Wa Kumfundisha Kagame Wewe Na Acha Kutaka Kupata KIKI Humu Kwa Kujifanya Wewe Ndiyo Mjeda Wa Uhakika TPDF..........au Wewe Ndiyo Yule Mr. Misifa Mwakibolwa? Halafu Ulivyo POPOMA Hata Tu Majina Yao Umekosea Kuyataja Na Huyajui Pia. Angalia Sasa Unavyoumbuka Humu Na Watu TUNAKUSANIFU Tu Na KUKUCHEKA! Kwa Kukusaidia Tu Rwanda Hatuna Mtu Aitwae Fred Rwigema Wala Patrick Karejea Bali Tuna Watu Waitwao Fredrick Rwigyema Na Patrick Karegea. Siku Nyingine Ukija Humu Jamvini Ujikamilishe Vizuri Vinginevyo Utakuwa UNAJICHORESHA Tu Kwa Akina GENTAMYCINE.
Huna Uwezo Wa Kumfundisha Kagame Wewe Na Acha Kutaka Kupata KIKI Humu Kwa Kujifanya Wewe Ndiyo Mjeda Wa Uhakika TPDF..........au Wewe Ndiyo Yule Mr. Misifa Mwakibolwa? Halafu Ulivyo POPOMA Hata Tu Majina Yao Umekosea Kuyataja Na Huyajui Pia. Angalia Sasa Unavyoumbuka Humu Na Watu TUNAKUSANIFU Tu Na KUKUCHEKA! Kwa Kukusaidia Tu Rwanda Hatuna Mtu Aitwae Fred Rwigema Wala Patrick Karejea Bali Tuna Watu Waitwao Fredrick Rwigyema Na Patrick Karegeya. Siku Nyingine Ukija Humu Jamvini Ujikamilishe Vizuri Vinginevyo Utakuwa UNAJICHORESHA Tu Kwa Akina GENTAMYCINE.
mwana kyuba hii lugha gani?
endelea kujidanganya...tafuta kina komandoo gorilla ni wa wapi ndo uache kupayuka
Yemwe yemwe.kub'eli chi,mwashaka kurwana?nago ili'mbyiza!wakiwa katika kambi ya wakimbizi wa kitusi maeneo uganda magaribi paulo kagabo kagame wamesoma,kucheza na kukua pamoja fred rwigema huyohuyo fred ndie alimpeleka kagame kumtambulisha kwa kaguta ili waende mafunzoni tz pamoja, wakati wa harakati za ukombozi kupitia rpf general fred rwegema ndio alipewa dhamana ya kuongoza mapambano na baraza la wazee wa rpf kipindi hicho paul kagame alikua marekan mafunzon huko langley wanapaita the farm, rwegema aliuawawa na akina kanali bayingana baada ya kuingia rwanda alisalitiiwa kwa uchu wa madaraka, salim salehe aka the fire alitumwa kumuua bayingana huku museven akiwaomba cia wamruhu paul arudi haraka kuongoza mapambano alipitia mpaka. wa kajitumba wakati kayumba nyamwasa,,theogene.rudasingwa na patrick karejea walipitia gatuna acha kuudanganya umma huna dam ya kinyarwanda lazima ungemjua shujaa fred rwigema hakuna mnyarwanda zuzu kama ww, ni wajomba zangu wa dam, nawajua zaidi ya wowe umusazi urantsinzi ijituba cya nyoko wowe umunyamahanga
kwahiyo ulitaka kumjua komandoo Tarimo au Tamim
Maana thread imepindishwa sana
kwa wanaopenda walau kupata taarifa kwa ufupi ya nini kilichotokea gonga hapa
Mwafrika: Jan 9, 1982. A coup that never was. And its aftermath
Kuna mapungufu makubwa sana katika ufundishaji wa Historia ya Tanzania. Pamoja na kwamba nimesoma Historia had ngazi ya chuo kikuu leo ni mara ya kwanza kujua kwamba kulikuwa na mpango wa mapinduzi ukioshindwa. Pamoja na kusoma History of Tanzania na Economic History of Tanzania bado mambo haya hayakugusiwa popote. Learning is life long process.
wakiwa katika kambi ya wakimbizi wa kitusi maeneo uganda magaribi paulo kagabo kagame wamesoma,kucheza na kukua pamoja fred rwigema huyohuyo fred ndie alimpeleka kagame kumtambulisha kwa kaguta ili waende mafunzoni tz pamoja, wakati wa harakati za ukombozi kupitia rpf general fred rwegema ndio alipewa dhamana ya kuongoza mapambano na baraza la wazee wa rpf kipindi hicho paul kagame alikua marekan mafunzon huko langley wanapaita the farm, rwegema aliuawawa na akina kanali bayingana baada ya kuingia rwanda alisalitiiwa kwa uchu wa madaraka, salim salehe aka the fire alitumwa kumuua bayingana huku museven akiwaomba cia wamruhu paul arudi haraka kuongoza mapambano alipitia mpaka. wa kajitumba wakati kayumba nyamwasa,,theogene.rudasingwa na patrick karejea walipitia gatuna acha kuudanganya umma huna dam ya kinyarwanda lazima ungemjua shujaa fred rwigema hakuna mnyarwanda zuzu kama ww, ni wajomba zangu wa dam, nawajua zaidi ya wowe umusazi urantsinzi ijituba cya nyoko wowe umunyamahanga
Watutsi Hatujawahi Kuwa Na Mjomba POPOMA Kama Wewe Na Acha Kabisa Kujipendekeza Kwa Sisi Wanyarwanda Hatukutaki Tuache!
Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
Watutsi Hatujawahi Kuwa Na Mjomba POPOMA Kama Wewe Na Acha Kabisa Kujipendekeza Kwa Sisi Wanyarwanda Hatukutaki Tuache!
Uwe unakubali challenge ili ujifunze,!
cha!!!!!! Comando Tarimo mlya? apa? hee kumbe kuna komandoo mchaga....hahahaha kumbe tumejanjaruka looong time