Mangi Muitori
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 638
- 411
Teh teh teh lazima sasa hivi atakuwa jambazi sugu duh Jina hilo la kirombo limeniacha hoi et Komandoo Tarimo, hahahaha atatokea mwingine atajiita komandoo Mushi hahahaa mara komandoo njau eehehehe
Anyway Basi Tufanye Wote Hao Siyo Makomandoo Bali Komandoo Ni Paul Kagame Peke Yake. Je Na Huyu Nae Utasemaje? Twende Sawa.
Huyo Commando TAMIM Kwa Shughuli Yake Ilivyokuwa Pevu Na Alivyo Mahiri Ktk Fani Hiyo Hadi Alipewa Heshima Na Serikali Ya Msumbiji Kujenga Nyumba Yake Jirani Kabisa Na IKULU Ya Nchi Ya Msumbiji Na Kwa Faida Yenu Tu Hadi Sasa Makazi Ya Familia Yake Bado Yapo Nchini Msumbiji Pembezoni Kabisa Na Ikulu Yao. Msumbiji Walimpenda Sana Kwa Kuwa Yeye Ndiye Aliyewafanyia UMAFIA Na Kuwapa Shughuli Pevu Wanajeshi Wa Kikaburu Hadi Wakachapa Lapa Na Kama Haitoshi Huyu Huyu TAMIM Ndiyo Aliyekuwa Rais Wa Cuba Comrade Wa Hayati Nyerere Fidel Armando Castro Alimwomba Kifimbo Ampe TAMIM Na Yeye ( Yaani Wa Cuba ) Watupe Makomandoo Wao Watatu. Sasa Jiulize Huyu Jamaa Alikuwa Ni Extraordinary Kiasi Gani Hadi Wa Cuba Wakamtaka?
...Ndinani, umenikumbusha mbaaali sana, miaka ya 1983 au 1984 nikiwa shule ya msingi. Nilikua nafuatilia story za hawa jamaa waliokuja kujulikana sana baadae katika 'Kesi ya Uhaini'. Moja ya story ya Captain TAMIM ya kusisimua ni ile katika kukimbia asikamatwe na askari kanzu akaona lorry/gari ya wazi nyuma ikiwa imebeba crate kibao za bia akarukia na kudandia gari lile akaanza kuwavurumishia chupa za bia askari waliokuwa wanamfukuza ili wamkamate..., it is so sad kuwa ultimately akapigwa risasi na kuuwawa!
Two weeks ago nilienda Bukoba, pale airport nilikutana na mwenzao katika kesi ile, kama sijakosea anaitwa Captain Roberts. Wameshakuwa aged sasa hawa watu, unfortunately alikuwa kalewa sana. Angekua katika akili ya kawaida nilitamani kuongea nae nijue wakati huo walikusudia kuifanyia nini nchi zaidi ya kile tulichokuwa tunafanyiwa na viongozi wetu wakati ule...
pia kuna nchi ishawahi zaliwa hapahapa tz iliitwa jamhuri ya chui na rais wake aliitwa nyamakanya. ni historia ya kweli kabisa
nadhani aliyemuua ni afisa usalama wa taifa ambae sasa hv ni mwanasheria na mwanasiasa maarufu...
Utaandkaje hstoria yake wakat hata jna humjui...??? Kuna Mahfudh na Tamim hamna Tarimo labda kwa kizaz kpya cha makomando wa xaxa.Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
BRUCE LEE hebu tuelezee kuhusu hyo jamhuri ya chui ilikuaje na ilikua wapi hata ikiwezekana anzishia thread ili hata wale wanaopenda history wajue ukweli uliofichwa kama anavyotudadavulia al ustaadh Mohamed Said tafadhali naomba ukilileta hilo unistue. Vipi mbn pia katika seleka lile hanspope hatajwi sana
Anyway Basi Tufanye Wote Hao Siyo Makomandoo Bali Komandoo Ni Paul Kagame Peke Yake. Je Na Huyu Nae Utasemaje? Twende Sawa.
Huyo Commando TAMIM Kwa Shughuli Yake Ilivyokuwa Pevu Na Alivyo Mahiri Ktk Fani Hiyo Hadi Alipewa Heshima Na Serikali Ya Msumbiji Kujenga Nyumba Yake Jirani Kabisa Na IKULU Ya Nchi Ya Msumbiji Na Kwa Faida Yenu Tu Hadi Sasa Makazi Ya Familia Yake Bado Yapo Nchini Msumbiji Pembezoni Kabisa Na Ikulu Yao. Msumbiji Walimpenda Sana Kwa Kuwa Yeye Ndiye Aliyewafanyia UMAFIA Na Kuwapa Shughuli Pevu Wanajeshi Wa Kikaburu Hadi Wakachapa Lapa Na Kama Haitoshi Huyu Huyu TAMIM Ndiyo Aliyekuwa Rais Wa Cuba Comrade Wa Hayati Nyerere Fidel Armando Castro Alimwomba Kifimbo Ampe TAMIM Na Yeye ( Yaani Wa Cuba ) Watupe Makomandoo Wao Watatu. Sasa Jiulize Huyu Jamaa Alikuwa Ni Extraordinary Kiasi Gani Hadi Wa Cuba Wakamtaka?
Hahahahaha komando mchaga?? Hebu tupe maelezo ya kutosheleza kuhusu huyu mtu tumfaham angalau kwa uchache. Nmependa kumfaham
Uwe unakubali challenge ili ujifunze,!
Huyo Commando TAMIM Kwa Shughuli Yake Ilivyokuwa Pevu Na Alivyo Mahiri Ktk Fani Hiyo Hadi Alipewa Heshima Na Serikali Ya Msumbiji Kujenga Nyumba Yake Jirani Kabisa Na IKULU Ya Nchi Ya Msumbiji Na Kwa Faida Yenu Tu Hadi Sasa Makazi Ya Familia Yake Bado Yapo Nchini Msumbiji Pembezoni Kabisa Na Ikulu Yao. Msumbiji Walimpenda Sana Kwa Kuwa Yeye Ndiye Aliyewafanyia UMAFIA Na Kuwapa Shughuli Pevu Wanajeshi Wa Kikaburu Hadi Wakachapa Lapa Na Kama Haitoshi Huyu Huyu TAMIM Ndiyo Aliyekuwa Rais Wa Cuba Comrade Wa Hayati Nyerere Fidel Armando Castro Alimwomba Kifimbo Ampe TAMIM Na Yeye ( Yaani Wa Cuba ) Watupe Makomandoo Wao Watatu. Sasa Jiulize Huyu Jamaa Alikuwa Ni Extraordinary Kiasi Gani Hadi Wa Cuba Wakamtaka?
Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
Kumbe wanyarwanda mmejaa humu mnaanza kubaguana na kuitana wanyamahanga, mnataka kuleta vita vyenu vya kijinga hapa kwetu wakati nyie ni maboya tu. Eti komando Kagame.. Komando my foot! Halaf mnajifanyaga ni watu wa hadhi ya juu kuliko watu wengine wakati nyie ni mandezi tu. Mbona hamkumwambia mjomba wenu Kagame arushe hata risasi moja mpakani tumfunze adabu? Mmmmmxxxiiuu...Watutsi Hatujawahi Kuwa Na Mjomba POPOMA Kama Wewe Na Acha Kabisa Kujipendekeza Kwa Sisi Wanyarwanda Hatukutaki Tuache!
nadhani aliyemuua ni afisa usalama wa taifa ambae sasa hv ni mwanasheria na mwanasiasa maarufu...