prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,184
- 3,369
Unajifanyaga unajua kila kitu watu wanakusomaga wanakuona bwabwa tu humu ndaniKuna Challenges Za Mimi Kuzikubali Na Kujifunza Ila Siyo Kama Hizi Za Ki POPOMA Na Zilizotolewa Na POPOMA. Jitahidi Umrekebishe Nduguyo!
Wakati unaandaa hilo namimi najiandaa kuandika historia ya Brigadia Laizer wa Ilboru, Arusha.Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania.
Je kuna mtu awaye yeyote mwenye ufahamu wa ili Jambo? naomba michango yenu zaidi.
ili sio jukwaa la mipasho.Huna Uwezo Wa Kumfundisha Kagame Wewe Na Acha Kutaka Kupata KIKI Humu Kwa Kujifanya Wewe Ndiyo Mjeda Wa Uhakika TPDF..........au Wewe Ndiyo Yule Mr. Misifa Mwakibolwa? Halafu Ulivyo POPOMA Hata Tu Majina Yao Umekosea Kuyataja Na Huyajui Pia. Angalia Sasa Unavyoumbuka Humu Na Watu TUNAKUSANIFU Tu Na KUKUCHEKA! Kwa Kukusaidia Tu Rwanda Hatuna Mtu Aitwae Fred Rwigema Wala Patrick Karejea Bali Tuna Watu Waitwao Fredrick Rwigyema Na Patrick Karegeya. Siku Nyingine Ukija Humu Jamvini Ujikamilishe Vizuri Vinginevyo Utakuwa UNAJICHORESHA Tu Kwa Akina GENTAMYCINE.
Apaa womi commando nacho tarimo wokwiiicha!!!!!! Comando Tarimo mlya? apa? hee kumbe kuna komandoo mchaga....hahahaha kumbe tumejanjaruka looong time
Ndo kisa kilichomfanya Lyatonga Mrema kuvaa bagarashia mpaka leoNdinani mbona umeogopa kumalizia? Kweli kaka huyu komandoo alikuwa anaitwa MOHAMED TAMIMU alichofanya ndicho kilisababisha asafiri safari wasiyorudi mnamo miaka ya 1982/83 mwezi sikumbuki
nadhani aliyemuua ni afisa usalama wa taifa ambae sasa hv ni mwanasheria na mwanasiasa maarufu...
Hahahaha komandooo Mosha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Teh teh teh lazima sasa hivi atakuwa jambazi sugu duh Jina hilo la kirombo limeniacha hoi et Komandoo Tarimo, hahahaha atatokea mwingine atajiita komandoo Mushi hahahaa mara komandoo njau eehehehe
na MUCCADAMNaikumbuka sana ile kesi ya uhaini, mwaka 1985. Walikuwa wanatoa kwenye magazeti mabishano kati ya jamhuri na wakili wa washtakiwa, wakili maarufu sana wa wakati ule Murtaza Lakha.
Huyo Mahfoudh (Mavuzi) natamani kusikia kidogo historia yakeUkimkumbuka Mohammed Tamim lazima umkumbuke na Hatib Gandhi (Hatty Mc Ghee), Kanali Mahfoudh, Eugene Maganga.
As usual ujuaji ila haujui unamuongelea Mahfudhi sio Tamimu ingawa na chumvi umetiaHuyo Commando TAMIM Kwa Shughuli Yake Ilivyokuwa Pevu Na Alivyo Mahiri Ktk Fani Hiyo Hadi Alipewa Heshima Na Serikali Ya Msumbiji Kujenga Nyumba Yake Jirani Kabisa Na IKULU Ya Nchi Ya Msumbiji Na Kwa Faida Yenu Tu Hadi Sasa Makazi Ya Familia Yake Bado Yapo Nchini Msumbiji Pembezoni Kabisa Na Ikulu Yao. Msumbiji Walimpenda Sana Kwa Kuwa Yeye Ndiye Aliyewafanyia UMAFIA Na Kuwapa Shughuli Pevu Wanajeshi Wa Kikaburu Hadi Wakachapa Lapa Na Kama Haitoshi Huyu Huyu TAMIM Ndiyo Aliyekuwa Rais Wa Cuba Comrade Wa Hayati Nyerere Fidel Armando Castro Alimwomba Kifimbo Ampe TAMIM Na Yeye ( Yaani Wa Cuba ) Watupe Makomandoo Wao Watatu. Sasa Jiulize Huyu Jamaa Alikuwa Ni Extraordinary Kiasi Gani Hadi Wa Cuba Wakamtaka?
vp anaweza patikana mitaa ipi uko songeayupo songea huyo Mzee alikua ruban shombe shombe hivi!
Nimesoma hii link hadi machozi yamenilenga lenga, hasa jamaa alivyo malizia hapo missing...kwa wanaopenda walau kupata taarifa kwa ufupi ya nini kilichotokea gonga hapa
Mwafrika: Jan 9, 1982. A coup that never was. And its aftermath
Mabere Marandomkuu ni nani huyo? Muweke wazi basi.
Hahaha, huyu jamaa bana anapenda kuonekana mjuziAs usual ujuaji ila haujui unamuongelea Mahfudhi sio Tamimu ingawa na chumvi umetia