Historia ya kweli ktik maisha yangu kwa ufupi

Historia ya kweli ktik maisha yangu kwa ufupi

GOYA MNANDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
239
Reaction score
160
Mimi ni kijana mwenye miak 32 nimeitimu chuo ngaz ya stashahada ya manunuzi na ugavi (procurement) 2012 nimesotea ajira toka 2010 adi leo patupu mara usajiliwe na board wanataka pesa mara ufanye mitihan ya board wanataka ela ukipata volunteer hakuna malipo ukipata majungu mwaka 2014 nikaamua kuachana kujitolea maana nilifanya kwa muda mrefu katika taasisi za umma kwa miaka 4 yote nila kuzingatiwa kwenye ajira yeyote rasim

Niliacha bila kujar naenda wap baada ya pale mwaka 2015 huo huo nikaanza kujichanganya mtaan kkoo kuuza sample ya nguo mbalimbali baadae nikapata wadau tukakimbilia ifakar kulima mpunga tukapambana uko kwa muda mrefu kisha nikarud tena mjini na kuendelea na mpambano

2016 nikapata wazo la kutoka pembezo mwa mjin na kuamia sehem moja inaitwa kisemvule kwa wakat huo ardhi haikua na thaman sana hivyo nikajichanga nikapata kipande cha hatua 16/20 kwa tsh laki 8 ukweli nilisaidiwa tu kutokana na nilivyo jieleza nikaamishia makaz uku wakat huo chumba tsh 5000 cha kiza niliishi uku na kwa wakat huo kulikua na kaz nyingi za ujenz hivyo ukijichanganya mtaan haukosi kazi nilifanya hivyo kwa muda uku naendelea na kilimo kule ifakala niliendelea kufanya kaz zisizo rasmi kwa muda uku naifashi kipato changu na hatimae nilipata kibanda changu mwaka 2016 mwishon

Katika maisha yangu ya kutafut niliamua kujiingiza kwenye uuzaji wa viwanja vya watu kwa kuanza mtu ananuua eneo anajiachia natafutawateja na kwa wakt huo nilitumia san Facebook kutangaza viwanja nikawa nalipwa % sikuangalia nimesomea nn mimi nilipambana ilimradi siku ziende na nikafanikiwa kujenga na kuendesha maisha yangu adi leo.... Sijawah kushika cash hata 3ml ila kidogo kidogo nimeweza kupata nyumba na kuweza kujikimu kimaisha

Wakubwa na wadogo zangu katika maisha usikate tamaa usiwaze kufanikiwa kupitia taaluma yako au fani yako ukiona fursa jichanganya wenda ndio kuna rizki yako hapo nimepata kibanda kwa kuunga unga mara unajenga unabomoa kuunga pale ila leo nipo pazur

njoon kisemvule leten wateja kwenye viwanja mupate % nanyi muanze kudunduliza viwanja nanyi mupate kujiifadhi ukileta wateja 5 nakupa kwanja 1 uku kwetu mchanga upo tu sio wa kununua kisemvule kuna fursa nyingi kuna viwanda vingi kulala na njaa maksud yako View attachment 2070248
FB_IMG_1598116824383.jpg
View attachment 2070247
20210909_215843.jpg


Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Big up, kweli umepambana. Shikilia kazi ya viwanja na uwe mwaminifu mwisho utakula shavu. Vijana wenzako wamekusikia, waache kutembea na bahasha mkononi.
 
Nilipanga huu mwaka lazima niwe na mjengo, alafu nakutana na uzi kama huu
 
Big up, kweli umepambana. Shikilia kazi ya viwanja na uwe mwaminifu mwisho utakula shavu. Vijana wenzako wamekusikia, waache kutembea na bahasha mkononi.
Toka nimeanza kuuza viwanja sijawah kupata changamoto ya mgogoro wa viwanja na mteja akija kununua lazima afike kwangu ajue ninapoishi aone familia yangu ndipo tufanye biashara karibun sana mkuu

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Uwanja wa futi 50 kwa 40 ambao ni square meter 200 unaonekana mdogo ila unapata kitu kama icho na ardhi yetu ni mchanga sio lazima sana kuweka mkanda chini ujenz wa gharama nafuu

Uwanja 2,500,000
Tofar 2700@900 = 2,430,000
cement 42@15000 =630000
nondo 18@2400 ni 432000
Komoto qubic moja 180000
maji 100000
fundi 1,200,000
kukod mbao za lint 75000
mbao za sahab 5@6000 = 30000
misumar 12000
usafir wa 40000

mchanga sijapigia hapo unajichimbia tu kwenye eneo lako dada alikuja na 12ml kesho kutwa tunapaua



Total ni kama 7,629,000/=

kupaua

mbao 2*2 ni 90*2800=252000
mbao 2*4 ni 90*4500=405000
fundi 1000,000
bati pc 87*22000=1,914,000
misumar ya bati & kench = 200000
kench waya 4@4000= 16000

total 3,762,000/=

jumla kuu 11,391,000/=

uharisia wa kweli ambao nauishi
20220106_101758.jpg
View attachment 2070358

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Uwanja wa futi 50 kwa 40 ambao ni square meter 200 unaonekana mdogo ila unapata kitu kama icho na ardhi yetu ni mchanga sio lazima sana kuweka mkanda chini ujenz wa gharama nafuu

Uwanja 2,500,000
Tofar 2700@900 = 2,430,000
cement 42@15000 =630000
nondo 18@2400 ni 432000
Komoto qubic moja 180000
maji 100000
fundi 1,200,000
kukod mbao za lint 75000
mbao za sahab 5@6000 = 30000
misumar 12000
usafir wa 40000

mchanga sijapigia hapo unajichimbia tu kwenye eneo lako dada alikuja na 12ml kesho kutwa tunapaua



Total ni kama 7,629,000/=

kupaua

mbao 2*2 ni 90*2800=252000
mbao 2*4 ni 90*4500=405000
fundi 1000,000
bati pc 87*22000=1,914,000
misumar ya bati & kench = 200000
kench waya 4@4000= 16000

total 3,762,000/=

jumla kuu 11,391,000/=

uharisia wa kweli ambao nauishi View attachment 2070359View attachment 2070358

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Ina vyumba vingapi
 
Uwanja wa futi 50 kwa 40 ambao ni square meter 200 unaonekana mdogo ila unapata kitu kama icho na ardhi yetu ni mchanga sio lazima sana kuweka mkanda chini ujenz wa gharama nafuu

Uwanja 2,500,000
Tofar 2700@900 = 2,430,000
cement 42@15000 =630000
nondo 18@2400 ni 432000
Komoto qubic moja 180000
maji 100000
fundi 1,200,000
kukod mbao za lint 75000
mbao za sahab 5@6000 = 30000
misumar 12000
usafir wa 40000

mchanga sijapigia hapo unajichimbia tu kwenye eneo lako dada alikuja na 12ml kesho kutwa tunapaua



Total ni kama 7,629,000/=

kupaua

mbao 2*2 ni 90*2800=252000
mbao 2*4 ni 90*4500=405000
fundi 1000,000
bati pc 87*22000=1,914,000
misumar ya bati & kench = 200000
kench waya 4@4000= 16000

total 3,762,000/=

jumla kuu 11,391,000/=

uharisia wa kweli ambao nauishi View attachment 2070359View attachment 2070358

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Bati aina gani kaka..
 
Back
Top Bottom