GOYA MNANDA
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 239
- 160
- Thread starter
- #21
Ajira hizi bhna ni kujuana bahat tu kikubwa ukimaliza chuo pambana mtaa kwa mtaa upate rizk zako za alali mimi nimeingia kwenye kilimo kwa miak kama 6 sasa nalima nafanya kaz za shamba fulltime na maisha yanaenda okMimi kuna kipindi nawaza pengine kuna watu hatujaumbwa kuajiriwa tumeumbwa kua case study kwamba waweza soma na usiajiriwe.
Sasa ni kuuanza mwaka kishirikina zaidi.
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app