Historia ya mababu wa kale wa Misri na elimu yao kuhusu uumbaji.. ""Mwanzo""

Kabla ya kwenda mbele zaidi..napenda jua hizi habari/simulizi zilitangulia kuwepo kabla ya kuandikwa biblia na quaran ama zimekuja baada ya biblia/quaran.
Maake nachoona ni upande mmoja umecopy na kuedit then paste....hebu nijuze kipi kilianza wakuu.
zilikuwepo kabla ya hivyo vitabu vya dini
 
Is
RA
El
 
Itoshe tu kusema imani za sasa ni maboresho ya imani za zamani sana kabla hata abraham bado ni kijana mdogo
 
Hizi ni ngano/hadithi za kale sawa sawa kabisa na zile za biblia....ila so far nshajua biblia na quaran hamna kitu pale i
Hivi sukari kwa sasa kilo moja inauzwa bei gani..!!?? Naona Neuroglycopenic features of hypoglycemia zinasumbua humu ndani
 
Oioojiiuoii[/8i]
 
Yap yap madini concious kuhusu black history hawa waleta dini wakaziedit na kulazamisha wote tuamini kama soga zao za kucopy na kupaste ndio ukweli. Mleta uzi nipe source nifuatilie vizuri habari za mababu weusi
 
Cha msingi kama una hela kabla hujafa tembelea Giza kisha nenda pale makumbusho ya Cairo si mbali toka pale Tahril square utapata historia nzuri sana halafu malizia na Old Orthodox church mahali alipofichwa mtoto Yesu
 
Cha msingi kama una hela kabla hujafa tembelea Giza kisha nenda pale makumbusho ya Cairo si mbali toka pale Tahril square utapata historia nzuri sana halafu malizia na Old Orthodox church mahali alipofichwa mtoto Yesu
[emoji15] Yesu ana mtoto?
 
Katika kabila lenu hakuna visaasili (legends) vinavyohusu uumbaji, chanzo cha binadamu, ulimwengu na vyote vilivyomo? Anza na hivyo kwanza kabla hujakimbilia kwa hawa Wamisri wa kale.
Mkuu vipi? Atum inaonekana alikuwa ndio binadamu toleo la kwanza na sio Adam na Eva.

Hivi chimbuko letu sisi ni tunatoka wapi hasa? Maanake naona wengine sijui ethiopia,gabon wengine sijui Soweto..

Alafu mbona ulinikimbia asee?
 
Mkuu vipi? Atum inaonekana alikuwa ndio binadamu toleo la kwanza na sio Adam na Eva.

Hivi chimbuko letu sisi ni tunatoka wapi hasa? Maanake naona wengine sijui ethiopia,gabon wengine sijui Soweto..

Alafu mbona ulinikimbia asee?
Asili imeanzia Ethiopia.
 
Naomba kuuliza hapo, wakati huyo jamaa anawatema viumbe hao na wengine wanatoka kwenye machozi nani alikuwa anafuatilia hasa kwa watu wa kwanza, habari hizi amehadithia yeye au nani?
mbavu zangu mie.kaka umemaliza hi myth
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…